Shamrashamra harambee CCM ikianza Mlimani City

Dar es Salaam. Mamia ya makada, wafuasi na mashabiki wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wamejitokeza katika ukumbi wa Mlimani City, inakofanyika harambee ya kuchangia kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Kati ya makada, wafuasi na washabiki hao, wapo pia wafanyabiashara mashuhuri nchini, wote wakiwa mguu sawa kushiriki harambee hiyo inayolenga kukusanya Sh100 bilioni kwa…

Read More

Miaka minne kuendelea, hii ndio jumla ya kutengwa kwa wanawake nchini Afghanistan inaonekana kama – maswala ya ulimwengu

Miaka minne baada ya wapiganaji wa Taliban kupata tena mji mkuu Kabul mnamo 15 Agosti 2021, Shirika la Usawa wa Jinsia Wanawake wa UN ni onyo kwamba hali kwa wanawake na wasichana nchini Afghanistan inazidi kuwa haiwezekani. Na bila hatua ya haraka, ukweli huu usiowezekana utarekebishwa na wanawake na wasichana watatengwa kabisa. “Taliban iko karibu…

Read More

Dk Biteko: Kuna maisha baada ya uchaguzi

Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka Watanzania kuwapima wagombea wa nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu ujao. Pia, amesisitiza wawachague viongozi kwa haki ifikapo Oktoba 29, 2025 na katu wasikubali uchaguzi huo mkuu uwagawe. Dk  Biteko ameyasema hayo leo Jumanne Agosti 12, 2025 alipomuwakilisha Rais, Samia Suluhu Hassan katika kilele…

Read More

Askari wanafunzi 15 wapata ajali, mmoja avunjika mbavu

Hai. Askari wanafunzi 15 wa  Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi zamani CCP,  mkoani Kilimanjaro wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na gari aina ya fuso. Ajali hiyo imetokea leo Agosti 12, 2025 katika eneo la Kwasadala, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro baada ya gari lililobeba  askari wanafunzi hao likitokea …

Read More

Mwendokasi Mbagala kumekucha, vituo vyaanza kusafishwa

Dar es Salaam. Maandalizi ya kuanza kwa usafiri wa mabasi yaendayo haraka (BRT) awamu ya pili, katika barabara ya Mbagala (Kilwa), sasa yameanza kuchangamka. Hii ni baada ya kupita wiki moja tangu mabasi 99 kati ya 250 yatakayotumika katika awamu ya kwanza kutoa huduma, kuingia jijini Dar es Salaam yakitokea nchini China yalikotengenezwa. Mabasi hayo,…

Read More