RAS PWANI AANZA ZIARA MKOANI HAPA

Na Khadija Kalili   , Michuzi TV  Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani aanza ziara ya kikazi, asisitiza ubunifu katika miradi ya maendeleo Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, leo ameanza ziara yake ya kikazi katika Halmashauri za Mkoa wa Pwani kwa kutembelea Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha. Katika ziara hiyo, Mnyema amesisitiza umuhimu…

Read More

Daraja la JPM lavusha magari 12,000 kwa siku

Mwanza. Zikiwa zimepita siku 55 tangu Rais Samia Suluhu Hassan azindue Daraja la JPM, maarufu kama Kigongo-Busisi, idadi ya magari kutoka ndani na nje ya nchi yanayovuka yanatajwa kuongezeka. Rais Samia alizindua daraja hilo Juni 19, 2025 na kisha kuanza kutumika. Kabla ya daraja hilo kuanza kutumika, wananchi walikuwa wakitumia vivuko kuvuka kati ya Kigongo…

Read More

Senegal yakomaa kileleni kundi D

MABINGWA watetezi, Senegal wameendelea kuongoza kundi D la mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN 2024), licha ya kutoka sare ya bao 1-1 na Congo katika mechi ya pili  uliopigwa leo, Agosti 12, 2025, kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar.  Sare hiyo imeipa pointi moja na kuimarisha nafasi yake ya kufuzu hatua…

Read More

Waarabu wa Mzize, waibomoa RS Berkane

ILE klabu inayomtaka mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize haitanii inakusanya mastaa hasa na sasa imepepelea kilio RS Berkane, ikiondoka na nahodha wa timu hiyo. Umm Salal ya Qatar imemng’oa nahodha huyo wa Berkane, Issoufou Dayo aliyekuwa staa mkubwa wa mabingwa hao wa Morocco. Dayo (34) anayecheza beki wa kati, ndiye aliyeiongoza Berkane kuchukua ubingwa wa…

Read More

WATANZANIA TUSIKUBALI UCHAGUZI UTUGAWE – DKT. BITEKO

   Asema Kuna Maisha baada ya Uchaguzi  Amwakilisha Rais Samia,miaka 40 Kanisa Anglikana Dayosisi ya Kagera *Rais Samia achangia Tsh. Milioni 50 Ujenzi wa Kanisa Dayosisi ya Kagera * Anglikana Waishukuru Serikali, washirika wa maendeleo Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto…

Read More

Lomalisa atabiri jambo flani Yanga

UNAJUA nini kinaendelea Jangwani? Kwa mashabiki wa kikosi cha Yanga wanaambiwa kwamba watarajia vitu vingi vitakavyowapa vaibu la kutosha msimu ujao, huku kukiwa na vyuma vya maana tu ambavyo vimeshaanza kujifua ili kutetea ubingwa wa mashindano mbalimbali. Ni katikati ya vaibu la tizi linaloendelea hapo ndipo ilipo siri nyingine ambayo ya mafanikio ya chama hilo…

Read More