Piku inavyoleta mapinduzi soko la kidijitali Tanzania

Majukwaa ya kidijitali yameleta mapinduzi makubwa katika namna biashara zinavyofanyika. Kupitia mitandao ya kijamii kama Instagram, Facebook, na WhatsApp, wafanyabiashara wanaweza kuwafikia wateja wengi kwa haraka na gharama nafuu. Badala ya kuwa na duka la kawaida linalohitaji kodi na gharama za uendeshaji, sasa mtu anaweza kuuza bidhaa au huduma akiwa nyumbani kupitia simu ya mkononi….

Read More

Wahamiaji haramu 39 wakamatwa Geita, wakiwamo watoto 12

Geita. Idara ya Uhamiaji mkoani Geita imewakamata wahamiaji haramu 39 raia wa Burundi, wakiwemo watoto 12, waliobainika kuingia nchini kinyume cha sheria. Kukamatwa kwa wahamiaji hao kumetokana na operesheni maalumu inayoendelea mkoani humo tangu Julai 2025, ambapo hadi sasa zaidi ya wahamiaji haramu 300 wamekamatwa katika maeneo mbalimbali ya mkoani humo. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

Winga Simba aongeza mmoja | Mwanaspoti

SIMBA Queens inaendelea kushusha nyota wa kimataifa na wale wa ndani, lakini inaelezwa imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja winga wa timu hiyo, Elizabeth Wambui. Msimu uliopita Mkenya huyo alimaliza na mabao saba na asisti tatu kwenye mechi 16 alizocheza, nyuma ya Asha Djafar aliyefunga manane na Jentrix Shikangwa aliyeweka kambani mabao 24. Mmoja wa watu…

Read More

Namungo yarejesha majeshi kwa Mgunda

KUNA taarifa za uhakika kutoka kwa uongozi wa Namungo kuwa umerejesha majeshi kwa kocha Juma Mgunda, ambaye ilidaiwa wameachana naye pamoja na msaidizi wake Shadrack Nsajigwa, lakini baada ya kufanya tathimini wameona bado anawafaa. Chanzo cha ndani kutoka Namungo, kilisema kuna asilimia kubwa ya kuendelea na Mgunda msimu ujao ambapo atakuwa anasaidiana na Ngawina Ngawina,…

Read More

Mikoa sita kupata mvua na ngurumo za radi kwa siku 10

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetaja mikoa sita itakayoshuhudia vipindi vya mvua na ngurumo za radi kwa siku 10. Hali hiyo iliyoanza kushuhudiwa kuanzia jana Agosti 11, 2025, itadumu hadi Agosti 20, 2025. Mikoa inayotarajiwa kukumbana na hali hiyo ni Kagera, Geita, Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara. Kuhusu hali ya…

Read More

Daraja la Mto Ngashanda kunusuru maisha ya wananchi 10,000

Simiyu. Zaidi ya wananchi 10,000 wa kata za Malambo, Nyangokolwa, Somanda na vijiji vya jirani katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameondokana na hatari ya kupoteza maisha, kufuatia kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la Mto Ngashanda, ambalo kwa miaka mingi lilikuwa kikwazo kwa usafiri na usalama wa wananchi. Kwa miaka mingi, mto huo…

Read More

TANZANIA YAAPA KUNG’ARA FEASSA 2025 KAKAMEGA

Na OR-TAMISEMI, TARIME 12/08/2025 MKURUGENZI wa Idara ya Elimu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Emmanuel Shindika, amewakabidhi bendera ya taifa wanamichezo wa Tanzania watakaoshiriki Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki (FEASSA) 2025, huku akiwaasa kudumisha nidhamu, utulivu na mshikamano kipindi chote cha mashindano hayo. Akizungumza kabla ya kuwakabidhi bendera hiyo, Dkt….

Read More