
Shukrani kwa kutekeleza ahadi ya nyongeza ya mishahara ya Watumishi wa Umma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Bw. Tumaini Nyamhokya, na ujumbe wake Pamoja na Viongozi wengine wa Serikali, Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 12 Agosti, 2025. Picha Namba 01: Rais wa Jamhuri ya…