McCarthy amtaja Jose Mourinho Kenya

KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy amesema ushindi wao wa kihistoria dhidi ya Morocco kwenye CHAN 2024 umetokana na mbinu alizojifunza kutoka kwa Jose Mourinho, akisisitiza kucheza pungufu ya mchezaji mmoja si kisingizio cha kupoteza kama timu ina nidhamu na mipango sahihi. Ushindi wa Kenya dhidi ya Morocco, uliifanya timu hiyo kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo…

Read More

Rogath Akhwari atoa ahadi nzito RT

SIKU chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Riadha nchini (RT), mgombea wa nafasi ua Urais, Rogath Akhwari ametoa ahadi nzito kwa kusema moja ya sababu zilizomfanya awanie nafasi hiyo ni kutaka kupunguza changamoto ya kifedha inayoikumba shirikisho hilo. Rogath, mtoto wa gwiji wa zamani wa riadha nchini John Stephen Akhwari, ni…

Read More

Kinyozi aliyenajisi mtoto wa miaka sita, jela maisha

Arusha.”Tamaa imemponza. Ndivyo unavyoweza kusema kilichomkuta kinyozi, Nickson Nyala, ambaye Mahakama ya Rufani imebariki adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kosa la kumnajisi mtoto wa kike aliyekuwa na umri wa miaka sita. Upande wa mashtaka ulieleza kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 4, 2021 katika eneo la Karifonia, mkoani Geita…

Read More

Asababisha kifo cha Polisi mwenzake, wakidaiwa kugombea ‘mchepuko’

Nairobi. Askari wa Polisi mwenye cheo cha Konstebo, Manasseh Ithiru, ameripotiwa kufariki dunia baada ya kudaiwa kusukumwa kutoka juu ya ghorofa na mwenzake, Sajenti Abubakar Said, wakati wa ugomvi uliotokea katika makazi ya mwanamke anayedaiwa kuwa mpenzi wao wa pembeni ‘mchepuko’. Tukio hilo lililotokea Jumamosi katika eneo la Kitengela, Kaunti ya Kajiado nchini Kenya, linadaiwa…

Read More

Jaji Mkuu afungua milango maboresho ya sheria, sera

Dodoma. Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju ametoa wito kwa Watanzania wote kutoa maoni yao kuhusu maboresho ya sheria na sera, ili kuchochea utawala wa sheria, kukuza demokrasia na kuimarisha ustawi wa wananchi. Akizungumza jijini Dodoma wakati wa ufunguzi wa mjadala wa kitaifa kuhusu maboresho ya sheria na sera, Jaji Masaju amesisitiza kuwa majadiliano yako…

Read More

Ukiukaji wa usalama wa uwanja unaumiza kichwa waandaaji CHAN 2024, KENYA

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeitaka Kenya kuchukua hatua zinazoonekanakushughulikia ukiukaji wa usalama wa uwanja unaofanywa na mashabiki wakati wa mechi za Harambee Stars kwenye Michuano ya Mataifa ya Afrika CHAN 2024. Kabla ya mpambano wa Kundi ‘A’ uliowahusisha Kenya dhidi ya Morocco Jumapili, mashabiki wengi waliojitokeza waliokosa subira na kuwalemea maafisa wa usalama…

Read More

Huu hapa uzuri wa kupikia gesi, umeme

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikisisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia huku ikirejea mpango wake wa asilimia 80 ya Watanzania watumie ifikapo mwaka 2034, wadau wameeleza uzuri na umuhimu wa matumizi ya nishati hiyo. Kuhifadhi mazingira, kuokoa muda, usalama wa kiafya pamoja na uhakika ni miongoni mwa faida zake, licha ya takwimu kuonesha hadi…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Tatizo la ajira kete ya kisiasa, ACT-Wazalendo kuzizalisha milioni 12

Moshi. Ni dhahiri tatizo la ajira nchini, limegeuka kete ya kisiasa katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani 2025 ambapo chama cha ACT-Wazalendo, kupitia ilani yake ya uchaguzi (2025-2030) kimeahidi kuzalisha ajira milioni 12. Hii ni tofauti na Chama cha Mapinduzi (CCM), ambacho katika ilani yake ya uchaguzi, kimeahidi kuzalisha ajira zenye tija zisizopungua milioni…

Read More

Watatu Stars wakwepa mtego | Mwanaspoti

NYOTA watatu wa kikosi cha kwanza cha Taifa Stars, wamekwepa mtego wa adhabu ya kukosa mechi ijayo ya hatua ya makundi ya michuano ya CHAN 2024 dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jumamosi kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa jijijini Dar es Salaam. Licha ya kuwa Stars ina uhakika wa kucheza robo fainali ya michuano…

Read More