5000 kuliamsha Nyerere International Marathon

WANARIADHa 5000 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajia kuchuana katika mbio za kimataifa za Mwalimu Julius Nyerere zinazotarajia kufanyika jijini Mbeya. Mbio hizo zinazoandaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kwa kushirikiana na ofisi ya Waziri Mkuu ni msimu wa pili kufanyika baada ya mwaka jana kurindima jijini Mwanza na sasa ni Mbeya. Akizungumza…

Read More

Kocha Burkina Faso aanza visingizio

BAADA ya Burkina Faso kuchapwa mabao 2-0 na Tanzania katika mechi ya ufunguzi ya CHAN, kocha wa timu hiyo, Issa Balbone amesema sababu kubwa ni kuchelewa kufika Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mechi hiyo, Balbone amesema timu hiyo ilichelewa kufika Dar es Salaam hali iliyosababisha wachezaji kushindwa kucheza vizuri. “Tulifika…

Read More

KAMISHNA BADRU AKAGUA UENDELEZAJI WA ENEO LA MSOMERA.

Na Mwandishi wetu. Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Abdul-razaq Badru ametembea kijiji cha Msomera kilichopo wilayani Handeni Mkoani Tanga kujionea uendelezaji wa eneo hilo ambalo linatumika kwa ajili ya kuwamishia wananchi  tarafa ya Ngorongoro wanaojiandikisha kuhama kwa hiari. Akiwa na mwenyeji wake mkuu wa wilaya ya Handeni mhe. Salum Nyamwese,kamishna…

Read More

Winga akaribia kutua Singida Black Stars

TIMU ya Singida Black Stars inakaribia kumsajili nyota wa Stand United ‘Chama la Wana’, Yusuph Khamis baada ya mabosi wa kikosi hicho kuvutiwa na uwezo wake aliouonyesha kwenye Ligi ya Championship msimu uliopita. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata zinaeleza mabosi wa Singida Black Stars wanamfuatilia kwa ukaribu mchezaji huyo, ambaye msimu uliopita akiwa na Stand aliifungia…

Read More

Kagawa anukia Coastal Union | Mwanaspoti

UONGOZI wa Coastal Union unadaiwa kufikia hatua nzuri ya kuinasa saini ya aliyekuwa kiungo wa Geita Gold, Ally Ramadhan Kagawa akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na waajiri wake wa zamani. Kagawa amemaliza mkataba na Geita Gold ambayo inashiriki Ligi ya Championship na inaelezwa mazungumzo baina ya pande zote mbili yanakwenda vizuri huku muda…

Read More

Mgaboni kupishana na Mnigeria Tabora United

UONGOZI wa Tabora United uko katika mazungumzo ya kuachana na aliyekuwa kipa wa kikosi hicho, Mgaboni Jean-Noel Amonome, ikiwa ni muda mfupi tu tangu ifikie makubaliano ya kumsajili Japhet Opubo aliyetokea Lobi Stars FC ya Nigeria. Amonome aliyecheza timu za FC 105 Libreville ya kwao Gabon, AmaZulu FC, Royal Eagles na Uthongathi FC za Afrika…

Read More

Célestin Ecua atuma salamu nzito

SAA chache baada ya Célestin Ecua kutambulishwa kuwa mchezaji wa Yanga, mwenyewe ameibuka na kutuma ujumbe wenye ahadi ya kufanya vizuri zaidi kuipa mafanikio klabu hiyo ambayo msimu uliopita ilibeba mataji matano ambao ni Kombe la Toyota, Ngao ya Jamii, Kombe la Muungano, Ligi Kuu Bara na Kombe la FA. …

Read More

WANANCHI LAZIMA WANUFAIKE NA UWEKEZAJI- MHE. MCHENGERWA

“Hadi sasa kwa jitihada tulizozifanya mimi na Serikali yetu matunda yameanza kuonekana kwani tayari wawekezaji wakubwa katika eneo la viwanda vikubwa wameomba kuja kuwekeza kilichobaki ni kusimamia ili tuweze kuwapa fursa za ajira ambazo wameshaahidi kuzitoa kwa vijana na akina mama”. Amefafanua Mhe. Mohamed Mchengerwa Amesema katika kipindi chote akiwa Mbunge wa Rufiji amebeba ndoto…

Read More