Senegal, Congo Brazaville mechi ya mtego

TOFAUTI na makundi mengine yenye timu tano, hesabu za kundi D katika michuano ya CHAN 2024 zinaonekana kuwa ngumu zaidi kutokana na idadi ya timu ambazo leo Jumanne zitacheza mechi ya pili kila mmoja kusaka nafasi ya kutinga robo fainali. Kundi D linaongozwa na Senegal iliyoibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mechi ya kwanza…

Read More

Auawa na Polisi mwenziye wakidaiwa kugombea ‘mchepuko’

Nairobi. Askari wa Polisi mwenye cheo cha Konstebo, Manasseh Ithiru, ameripotiwa kufariki dunia baada ya kudaiwa kusukumwa kutoka juu ya ghorofa na mwenzake, Sajenti Abubakar Said, wakati wa ugomvi uliotokea katika makazi ya mwanamke anayedaiwa kuwa mpenzi wao wa pembeni ‘mchepuko’. Tukio hilo lililotokea Jumamosi katika eneo la Kitengela, Kaunti ya Kajiado nchini Kenya, linadaiwa…

Read More

CAF yaiadhibu Kenya, yapunguza mashabiki Moi Kasarani

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetoa adhabu ya kupunguzwa kwa idadi ya mashabiki katika Uwanja wa Moi Kasarani uliopo Nairobi, Kenya kutokana na kujirudia kwa matukio ya vurugu yanayovunja kanuni za ulinzi na usalama viwanjani katika fainali za CHAN 2024 zinazoendelea. Barua ambayo CAF imeandika kwa mwenyekiti wa Kamati ya Ndani ya maandalizi…

Read More

Maombi ya Lissu kuwaona mashahidi kesi yake kuamuliwa leo

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo, Dar es Salaam leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa shauri la maombi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kuhusiana na mashahidi wa Jamhuri katika kesi inayomkabili  ya kuchapisha taarifa za uwongo mtandaoni, kutoa ushahidi bila kuonekana. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa na Jaji Elizabeth Mkwizu kufuatia…

Read More

Simba yatesti mitambo Misri, mastaa wapya waanza vizuri

Wachezaji wapya wa Simba, Mohamed Bajaber na Jonathan Sowah wameanza kuonyesha makali yao baada ya kutikisa nyavu katika mchezo wa kirafiki uliochezwa jana dhidi ya Kahraba Ismailia. Katika mechi hiyo ya maandalizi ya msimu ujao wa 2025/2026 Simba iliandika bao la kwanza lililofungwa na Mohamed Bajaber katika kipindi cha kwanza. Bao la pili lilipatikana kipindi…

Read More

TEA, UNICEF WAENDELEA KUIMARISHA ELIMU WILAYANI UYUI.

-Miradi ya zaidi ya Shilingi Milioni 160 yatekelezwa.-Utoro wapungua; Ufaulu waimarika Na Mwandishi Wetu – Uyui Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), wameendeleza juhudi kubwa za kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi Wilayani Uyui, mkoani Tabora, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuinua ubora wa elimu…

Read More

Simba yamvizia kiungo wa Stars

KAMA ulidhania Simba imefumba jicho la usajili basi umekosea, licha ya kwenda Misri kujiandaa kwa msimu mpya wa mashindano ya msimu ujao wa 2025-26, lakini mabosi wa klabu hiyo wanaendelea kusaka vyuma na sasa inadaiwa wametua KMC wakitaka kiungo mkabaji aliyepo Taifa Stars. Simba imeweka kambi katika jijini la Ismailia ikiwa inaingia wiki ya pili…

Read More