Yanga yawabakiza mabeki | Mwanaspoti

KATIKA kuhakikisha inajiandaa na msimu mpya wa Ligi ya Wanawake, inaelezwa Yanga Princess imewaongezea mikataba wachezaji wawili kuendelea nao msimu ujao. Mabeki hao ni Diana Mnally na rafiki yake wa karibu Protasia Mbunda, waliokuwa wamejiunga na Yanga Princess msimu uliopita wakitokea Gets Program. Inaelezwa nyota hao walionyesha kiwango bora msimu uliopita, hali iliyowashawishi viongozi wa…

Read More

Mbinu za kuchopeka mahiri za maisha kwenye  mtalaa wa elimumsingi

Mtalaa ulioboreshwa nchini Tanzania (2023), pamoja na mambo mengine, unalenga kuwajengea wanafunzi mahiri za maisha zinazowawezesha kumudu changamoto za karne ya 21. Mahiri hizi, ambazo wakati mwingine hufahamika kama stadi za maisha, aghalabu hazionekani moja kwa moja kwenye mtaala na hivyo huhitaji mwalimu awe na uwezo wa kutafuta namna ya kuzikuza wakati somo lake likiendelea….

Read More

Uganda yaendelea kugawa dozi, ikiizima Niger

TIMU  ya taifa ya Uganda The Cranes, imeendelea kung’ara katika michuano ya CHAN 2024 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Niger ikiwa ni mechi yao ya tatu ya Kundi C iliyopigwa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, jijini Kampala. Uganda ilianza michuano hiyo kwa kipigo cha mabao 3-0 kutoka Algeria, lakini imezinduka…

Read More

Elimu ya amali inaweza kututoa Watanzania

Dar es Salaam. Katika dunia ya sasa inayobadilika kwa kasi kubwa, siyo tu maarifa ya kinadharia yanayohitajika, bali pia uwezo wa kivitendo, yaani ujuzi wa amali.  Elimu ya amali, ambayo mara nyingi hufananishwa na elimu ya ufundi au elimu ya ujuzi, ndio njia bora ya kuandaa vijana kwa maisha ya kazi, uvumbuzi, na kujitegemea.  Elimu…

Read More

Siku 407 bila kupatikana muuguzi wa KCMC aliyetoweka

Moshi. Ikiwa zimepita siku 407 tangu kutoweka kwa muuguzi wa idara ya masikio, pua na koo (ENT), Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini KCMC, Lenga Masunga Ng’hajabu (38) familia imesema bado hawajakata tamaa kumtafuta. Muuguzi huyo anadaiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha Julai 2, mwaka 2024, mtaa wa Rau Pangaleni, Wilaya ya Moshi, mkoani…

Read More

TRA yaongeza muda wa kujisajili wafanyabiashara mtandao

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeongeza muda kujisajili kulipa kodi kwa watu binafsi na taasisi zote zinazojihusisha na biashara mtandao, sasa ukomo wake  hadi Desemba 31, 2025 kutoka Agosti 31. Nyongeza ya muda huo, haiwahusu, wafanyabiashara wakubwa wanaofanya biashara ya kupangisha nyumba kupitia mitandao, wamiliki na waendeshaji wa majukwaa ya kidijitali ambapo…

Read More