Mgombea urais aliyepigwa risasi Colombia, afariki dunia

Seneta Miguel Uribe Turbay alipigwa risasi kichwani wakati wa mkutano wa hadhara huko Bogota, Colombia. Taarifa za kifo cha Uribe (39) zimetolewa na mke wake, Maria Claudia, Jumatatu, 11 Agosti 2025, ambaye amesema kifo hicho kimetokana na mumewe kuvuja damu kwenye mfumo wa neva baada ya kupigwa risasi. “Alikuwa anatibiwa hapa kwenye Hospitali ya Wakfu…

Read More

Usichokijua kuhusu kupikia ubwabwa kwenye gesi

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Environment Foundation, Glory Shayo amesema kwamba kuna dhana potofu katika jamii kuwa ubwabwa unaopikwa kwa kutumia gesi hakina ladha nzuri kama kile kinachopikwa kwa kuni au mkaa, jambo ambalo si sahihi. Akizungumza leo Jumatatu Agosti 11, 2025 katika mjadala wa Mwananchi X Space ulioandaliwa na Kampuni ya Mwananchi…

Read More

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MAZISHI YA SPIKA MSTAAFU NDUGAI

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka shada la maua kwenye kaburi la Spika Mstaafu na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai katika mazishi yaliyofanyika katika kijiji cha Msunjulile Kongwa, Mkoani Dodoma, Agosti 11, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mazishi ya Spika…

Read More

UDP Yatangaza Wagombea wa Urais Tanzania Bara na Zanzibar

 Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha UDP, Saumu Rashid, akiwa na Mgombea mwenzi wa , Salim, Juma Khamis Faki,wakiwa wamenyanyua mikono juu kuashiria ushindi walioupata kwa kuchaguliwa kugombea nafasi ya Urais kupitia chama cha UDP. Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia chama cha UDP, Saumu Rashid akizungumza mara baada ya…

Read More

Aspect Gaming & Superspade Games Kuleta Neema Meridianbet

NDANI ya jamii ya wacheza michezo ya kasino mtandaoni, zipo kampuni chache ambazo zimejipatia heshima kwa ubora, ubunifu na burudani isiyo na kifani. Leo, Meridianbet, jukwaa bora la ubashiri nchini, ili kuendelea kuimarisha heshima yake, limefungua milango yake kwa nyota wakubwa wa sekta hii ya michezo ya kasino mtandaoni Aspect Gaming na Superspade Games. Aspect…

Read More

Bashiri na Meridianbet Bingwa wa Laliga Sasa

HUKU zikiwa zimebaki siku 4 pekee kurejea kwa Laliga, wakali wa ubashiri Meridianbet tayari wamekuweka ODDS za bingwa wa ligi kuu ya Hispania. Je nani kupokea kijiti cha Barca?. Suka jamvi lako la ushindi hapa. Meridianbet nafasi ya kwanza ya kuondoka na taji la ligi kuu wanampa Real Madrid kwa ODDS 1.77, ambao msimu uliopita…

Read More