TCRA Kukutana na Mtandao wa Wanablogu Tanzania Kubainisha Utambulisho wa Wanablogu

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kukutana na Mtandao wa Wanablogu Tanzania (TBN) ili kujadili na kufafanua kwa uwazi nani anastahili kutambulika kama mwanablogu nchini. Hatua hiyo inafuatia malalamiko ya TBN kwamba wanablogu wa kitaaluma wamekuwa wakichanganywa na watumiaji wa mitandao ya kijamii wanaomiliki akaunti binafsi au za kibiashara, lakini hawana…

Read More

NMB Yaendeleza Kuimarisha Uhusiano wa Kibiashara Zanzibar

Benki ya NMB imeendelea kuimarisha uhusiano na wateja wake visiwani Zanzibar kupitia mikutano ya ana kwa ana na wateja wakubwa, sambamba na kutoa elimu kuhusu masuluhisho mbalimbali inayoyatoa kwa wafanyabiashara. Ujumbe wa benki hiyo, ukiongozwa na Meneja Biashara wa NMB Zanzibar, Bi. Naima Said Shaame, akiwa ameambatana na Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara, Dickson…

Read More

SportPesa kuipa Yanga 21.7 bilioni

Kama unadhani ndoa ya Yanga na kampuni ya michezo ya kubashiri ya SportPesa itaishia njiani unakosea. Pande hizo mbili zimesaini mkataba mpya wenye thamani ya Sh21.7 bilioni. Ilikuwa Julai 27, 2022 ambapo pande hizo ziliingia mkataba wa miaka mitatu  uliokuwa na thamani ya Sh12.3 bilioni uliomalizika mwisho wa msimu uliopita. Mkataba mpya ambao umesainiwa leo…

Read More

Kituo cha kikanda cha uokoaji Ziwa Victoria kukamilika mwezi ujao

Mwanza. Kituo cha Kuratibu, Utafutaji na Uokoaji (MRCC) kinachojengwa jijini Mwanza kinatarajiwa kukamilika mwezi ujao kikitajwa kuwa uti wa mgongo wa usalama wa majini. Kituo hicho kikuu cha kuratibu shughuli za uokoaji, utafutaji na usalama wa majini katika Ziwa Victoria, kikishirikiana na vituo vidogo vinavyopatikana katika miji mikubwa na bandari kama Bukoba, Kemondo, Kisumu (Kenya),…

Read More

MCL, Vodacom waandaa majadiliano kuchochea athari chanya Tanzania

Dar es Salaam. Alhamisi ya  Agosti 14, 2025 kuanzia saa 8:00 mchana hadi saa 9:30 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki (EAT), Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa ushirikiano na Vodacom Tanzania itakuwa mwenyeji wa majadiliano muhimu ya mtandaoni kujadili ‘Kuchochea Athari: Ushirikiano kwa Ajili ya Watu, Sayari na Ustawi’. Majadiliano hayo ya mtandaoni yatawakutanisha viongozi…

Read More

Safari ya maisha ya Ndugai ilivyohitimishwa Kongwa

‎Kongwa. Mwili wa Spika wa Bunge mstaafu Job Ndugai umezikwa leo Agosti 11, 2025 shambani kwake, katika Kijiji cha Mandumbwa Kata ya Sejeli wilayani Kongwa huku Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza waombolezaji kwenye mazishi hayo na kutoa ujumbe wa kumuenzi. ‎Wengine waliohudhuria mazishi hayo ni Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ),…

Read More

CCM kufanya harambee ya kuchangisha mabilioni ya fedha

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema Kamati Kuu ya chama hicho imeamua kufanya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kukiandaa kuelekea kampeni za Uchaguzi Mkuu zitakazoanza Agosti 28 hadi Oktoba 28, 2025. Amesema mchango wa fedha katika harambee ya chama hicho hauwezi kuwa kigezo cha kupata…

Read More