Piku yazinduliwa rasmi, mmoja akijishindia vitu lukuki

Dar es Saalam. Kadri serikali inavyochukua hatua kuhakikisha kuwa utafiti na ubunifu vinakuwa chachu kuu ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii, baadhi ya wavumbuzi wa Kitanzania wameunga mkono maono hayo kwa kuzindua jukwaa jipya la kidijitali linaloitwa Piku. Jukwaa hilo la Piku ambalo lilizinduliwa rasmi Agosti 7, 2025 jijini Dar es Salaam linafanya kazi kwa…

Read More

Tanzania yaanza kujipanga uzalishaji umeme kwa nyuklia

Dar es Salaam. Mpango wa Tanzania kutumia nyuklia kama chanzo cha nishati umeanza, baada ya kusaka teknolojia ya kuzalisha umeme kwa nishati hiyo bila kusababisha madhara. Hatua hiyo inakuja wakati Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (Taec) imeingia makubaliano ya kushirikiana na Shirika la Global Center for Nuclear Energy Partnership la nchini India. Makubaliano haya…

Read More

Watatu kortini wakidaiwa kumpiga ngumi mwenzao

Dar es Salaam. Fundi magari, Tibelius Mgonela (55) na wenzake wawili, wamefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, jijini Dar es Salaam kujibu shtaka moja la shambulio la kudhuru mwili. Mgonela mkazi wa Mbezi na wenzake wanadaiwa kumpiga ngumi tumboni na ubavuni mlalamikaji, Raju Pache (60) na kumsababishia maumivu ya mwili. Karani wa Mahakama hiyo, Aurelia…

Read More

CAF yasitisha uuzaji tiketi za CHAN Kenya

KWA mujibu wa taarifa kutoka Kenya, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limesitisha uuzaji wa tiketi kwa mechi zote zijazo zitakazochezwa kwenye Uwanja wa Moi International Sports Centre, Kasarani, ikiwamo ya Jumapili ijayo ya Harambee Stars dhidi ya Zambia. Sababu ya CAF kusitisha uuzaji wa tiketi ni kutokana na dosari kubwa za usalama zilizotokea kwenye mchezo…

Read More

Uhimilishaji ng’ombe jike waongeza upatikanaji maziwa Rungwe

Mbeya. Katika jitihada za kuboresha uzalishaji wa maziwa na kuinua sekta ya mifugo, wafugaji katika Wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya, wameanza kutumia teknolojia za kisasa za uhimilishaji wa majike ya ng’ombe kwa kutumia mbegu bora. Ofisa Uhimilishaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Haji Ludanga amesema kuwa matumizi ya teknolojia hiyo yameanza kuleta mafanikio makubwa…

Read More

McCarthy: Tuna hamu kubwa ya kupambana na Taifa Stars CHAN

KOCHA wa Harambee Stars, Benny McCarthy ameitaja Tanzania kuwa mojawapo ya timu zinazoshiriki dimba la CHAN 2024 ambazo zina hamu ya kuifunga Kenya. McCarthy alinukuliwa akisema: “Kazi kubwa yetu ya kumaliza mechi za makundi inayofuata ni dhidi ya Zambia. Naweza kusema kwa kujiamini kuwa timu zote kwenye michuano hii zinafanya juhudi kubwa kuifunga Kenya miongoni mwa…

Read More

Sababu Mzize kutua Esperance | Mwanaspoti

BAADA ya danadana za muda mrefu juu ya dili la mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kuuzwa nje ya nchini, hatimaye mabosi wa klabu hiyo wameridhia kutua Esperance ya Tunisia na kuelezwa sababu ya kuchomolewa kwa ofa ya klabu ya Umm Salal ya Qatar. Awali mchezaji huyo alihusishwa na klabu kutoka Ubelgiji, Misri, Afrika Kusini na…

Read More