Mpina, Othman waeleza watakavyoing’oa CCM

Pemba. Watiania wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar wamemaliza kujitambulisha kwa wananchi wa Zanzibar huku wakisema wako ‘fiti’ kuanza mchakato wa kampeni za siku 60 za kuhakikisha wanaibuka kidedea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kampeni za uchaguzi mkuu…

Read More

NADES-FORMATION YAWAELIMISHA WAKULIMA WA DODOMA KUHUSU KILIMO MSETO na UTUNZAJI WA MAZINGIRA

 SHIRIKA lisilo la kiserikali la INADES-Formation Tanzania limetumia Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima Nanenane Kanda ya Kati yaliyofanyika kwenye viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma kutoa mafunzo mbalimbali kwa wakulima wa wilaya za Chemba na Kondoa kuhusu kilimo mseto na utunzaji wa mazingira. Afisa Mradi wa Kilimo Mseto kutoka shirika hilo, Paul Chugu, alisema mafunzo hayo…

Read More

Kumekucha mashindano ya Gofu ya Rotary Club

MASHINDANO ya 15 ya Gofu ya Rotary Club ya Bahari yanatarajiwa kufanyika Agosti 16 kwenye viwanja vya Klabu ya Gymkhana Dar es Salaam. Mashindano hayo yatashirikisha zaidi ya wachezaji gofu 80 kutoka klabu mbalimbali kwa mujibu wa Rais wa Rotary Club ya Bahari, Dar es Salaam, Sameer Santosh. Santosh alisema mashindano hayo yana lengo la…

Read More

NM-AIST yasisitiza ubunifu wa teknolojia

Arusha. Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST), Profesa Maulilio Kipanyula amesema taasisi hiyo imejikita kuunganisha taaluma na mahitaji halisi ya jamii. Amesema hilo linafanyika kwa kutumia  ubunifu wa kiteknolojia ambao ni  nyenzo muhimu ya kuzalisha ajira endelevu kwa vijana na kuchochea maendeleo ya Taifa. Akizungumza leo Jumapili,…

Read More

Mpo? Mzize ana jambo lake!

WAKATI presha ya kutafuta matokeo ikiikabili Taifa Stars, straika anayetajwa kuwa na thamani ya Sh2 bilioni, Clement Mzize aliibuka shujaa wa usiku wa Jumamosi, akiifanya Tanzania kuweka rekodi ya kibabe na kutinga robo fainali ya michuano ya CHAN 2024. Mshambuliaji huyo alifunga mabao mawili ndani ya dakika 7 na kuiwezesha Tanzania kushinda 2-1 dhidi ya…

Read More

Mradi wa maji wa Sh662 milioni wakomboa wananchi wa Meatu

Meatu. Wananchi wa kijiji cha Bulyashi kilichopo Kata ya Mwamishali wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu, wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma ya maji. Meneja wa Ruwasa wilaya ya Meatu,Mhadisi David Kaijage(kulia)akitoa maelezo kwa kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2025,Ismail Ussi(wa pili kushoto)juu ya mtandao wa maji katika mradi wa maji…

Read More

Ishu ya kusilimu, Dida amtaja Maguri

KIPA wa zamani wa kimataifa aliyewahi kuwika na timu za Simba, Yanga, Azam pamoja na Taifa Stars, Deogratius Munishi ‘Dida’ kwa sasa akijulikana kama Yunus baada ya kusilimu, amezungumzia suala hilo huku akimtaja mchezaji mwenzake Elias Maguri kuwa ni watu waliochangia kufanya uamuzi. Kipa huyo alisema imemchukua muda mrefu kufanya uamuzi huo, baada ya Maguri…

Read More

Mchungaji Hananja atoa neno kwa vijana

Kibaha. Mchungaji mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Jackson Hananja amewahimiza vijana nchini kuacha kulalamikia ugumu wa maisha na badala yake, watumie maarifa na ubunifu wao kujitafutia ajira halali. Amesisitiza kuwa licha ya uhaba wa ajira rasmi unaoikabili nchi, fursa za kujiajiri bado zipo nyingi kama watajiongeza. Akizungumza leo Jumapili Agosti 10,…

Read More

Ufahamu ugonjwa ulioondoa uhai wa Ndugai

Dar es Salaam. Wakati Katibu wa Bunge la Tanzania, Baraka Leonard akisema Spika mstaafu wa Bunge, Job Ndugai amefariki dunia kwa shinikizo la damu kushuka lililosababishwa na maambukizi makali kwenye mfumo wa hewa, wataalamu wa afya wameuelezea ugonjwa huo. Wakizungumza na Mwananchi leo Agosti 10, 2025 wataalamu hao wamesema shinikizo la damu la kushuka ni…

Read More