TANZANIA YAANZA VYEMA CHAN 2025

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TIMU ya Taifa ya mpira wa miguu Tanzania (Taifa Stars) imeanza vizuri michuano ya CHAN 2025 baada ya kufanikiwa kuichapa Burkina Faso mabao 2-0 katika mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo. Katika mchezo huo ambao ulitanguliwa na shamrashamra za sherehe za ufunguzi, Taifa Stars akiwa nyumbani uwanja wa Benjamini Mkapa…

Read More

PROFESA MSOFE AZURU BANDA LA NEMC MAONESHO YA NANENANE- DODOMA

Naibu katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Profesa Peter Msofe ametembelea Banda la NEMC lililoko viwanja vya Nanenane Nzuguni , Jijini Dodoma. Akiwa bandani hapo, alifurahishwa na elimu ya Mazingira inayotolewa hususani ya namna bora ya kufanya kilimo, uvuvi na ufugaji unaozingatia utunzaji wa mazingira kwa mstakabali wa maendeleo endelevu nchini. Amefurahishwa na…

Read More

Ushindi wa Stars wampa Morocco matumaini kibao

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amesema ushindi wa kwanza wa timu hiyo wa michuano ya CHAN umetoa mwanga mkubwa wa kikosi hicho kufanya vizuri zaidi. Kauli ya Morocco, inajiri baada ya timu hiyo kuanza vyema michuano ya CHAN kufuatia kuifunga Burkina Faso mabao 2-0, katika mechi ya kwanza ya ufunguzi iliyopigwa kwenye…

Read More

Fei Toto: Watanzania wamefurahi | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema ni fahari kwa kikosi hicho kuanza vyema fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN), baada ya  ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Burkina Faso. Stars imepata ushindi huo wa mechi ya kwanza ya ufunguzi wa…

Read More

UBUNIFU WA KISAYANSI SUA WAMVUTIA MHE. PINDA NANENANE 2025

Farida Mangube, Morogoro  Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda, ametembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwenye Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, mkoani Morogoro, na kuvutiwa na ubunifu na teknolojia mbalimbali zinazolenga kuboresha kilimo na maisha ya wakulima. Katika ziara hiyo, Mhe. Pinda alipokelewa na Makamu Mkuu…

Read More

Kocha mpya Yanga ashuhudia mavitu ya Mzize Stars

KOCHA mpya wa Yanga, Romain Folz ni miongoni mwa watu waliofika katika Uwanja wa Mkapa kushuhudia mchezo wa ufunguzi kati ya Tanzania na Burkina Faso katika ufunguzi wa mashindano ya CHAN. Kocha huyo ameambatana na benchi lote la wasaidizi wake ambao ni kocha wa makipa, mkurugenzi wa benchi la ufundi na kocha wa viungo wote…

Read More

“Hakuna mtu anayepaswa kulazimishwa kuhatarisha maisha yao kupata chakula,” anasema shirika la umoja wa kibinadamu – maswala ya ulimwengu

Kunyimwa kwa miezi mingi ya bidhaa za msingi za kudumisha maisha kumesababisha kuongezeka kwa shida. Zaidi ya watu 100 waliuawa, na mamia ya wengine walijeruhiwa, njiani za chakula na karibu na vibanda vya usambazaji wa Israeli katika siku mbili zilizopita. Kama mtu mmoja kati ya watatu kwa sasa huenda siku bila chakula, Ocha alisisitiza kwamba…

Read More