Serikali yatangaza nafasi za ajira

Dar es salaam. Serikali kupitia ofisi ya Rais sekretatieti ya ajira katika utumishi wa umma imetangaza nafasi 73 za ajira kwa raia wa tanzania wenye umri usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa waliopo kazini serikalini. mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni Agosti 21, 2025. Kwa mujibu wa tangazo la ofisi hiyo, la  Agosti 8, 2025…

Read More

Mokhtar afufua ndoto za Mauritania CHAN 2024

USHINDI wa Mauritania dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika michuano ya CHAN 2024 umeibua matumaini mapya kwa kikosi cha Mourabitounes, huku mchezaji bora wa mechi hiyo, Ahmed Mokhtar Ahmed, akitamba juu ya ushindi huo. Baada ya mechi mbili mfululizo bila kufunga dhidi ya Madagascar na Tanzania, presha ilionekana kuwa kubwa kwa washambuliaji wa…

Read More

Mtumishi aliyemshtaki Rais ashinda rufaa

Arusha. Hatimaye harakati za aliyekuwa Ofisa wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT), Henry Kitambwa aliyemshtaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupinga uamuzi wa kuridhia kufukuzwa kwake kazi kwa tuhuma za ubadhirifu, zimezaa matunda baada ya Mahakama ya Rufani kuridhia rufaa yake. Uamuzi huo umetolewa Agosti 7, 2025 na jopo la majaji watatu,…

Read More

Maji yanapogeuka adui mtoa uhai

Dar es Salaam. Ingawa maji ni msingi wa maisha na maendeleo ya binadamu, yanapokosa usimamizi salama huweza kubadilika na kuwa tishio kwa uhai. Kutoka kwenye visima vya nyumbani hadi kwenye mito, maziwa na bahari, mamia hupoteza maisha kila mwaka; wengi wao wakiwa watoto na vijana wenye umri wa mwaka mmoja hadi 24 duniani kote hali…

Read More

Kwanini watu hawa hawaambukizwi VVU? Wanasayansi wafichua sababu

Dar es Salaam. Umewahi kusikia baadhi ya watu ambao walikuwa na tabia hatarishi zilizowafanya wakakutana na watu mbalimbali, hata wenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), lakini walipopimwa hawakubainika? Wanasayansi wanatoa jawabu; watu hao wana ulemavu katika vinasaba vyao kwa kukosa vipokezi au vikombe sahani vijulikanavyo kama CXCR4 na CCR5. Akizungumza na Mwananchi katika mahojiano…

Read More

Morocco: Na bado, tunataka uongozi

LICHA ya Taifa Stars kushinda mechi tatu mfululizo katika hatua ya makundi ya michuano ya CHAN 2024 na kufuzu robo fainali, kocha wa kikosi hicho, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amewataka wachezaji wake kuelekeza nguvu kwenye mechi ya mwisho ya hatua hiyo dhidi ya Afrika ya Kati ili kumaliza vinara wa Kundi B. Stars ilianza kwa kishindo…

Read More

Mokhtar afufua ndoto za MauritaniaMAURITANIA

USHINDI wa Mauritania dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika michuano ya CHAN 2024 umeibua matumaini mapya kwa kikosi cha Mourabitounes, huku mchezaji bora wa mechi hiyo, Ahmed Mokhtar Ahmed, akitamba juu ya ushindi huo. Baada ya mechi mbili mfululizo bila kufunga dhidi ya Madagascar na Tanzania, presha ilionekana kuwa kubwa kwa washambuliaji wa…

Read More