Azam yamtambulisha rasmi Japhte Kitambala

AZAM FC imeendelea kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano ikiwamo Ligi Kuu Bara, baada ya kumtambulisha rasmi mshambuliaji kutoka DR Congo, Jephte Kitambala. Katika picha iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, Kitambala,  ameonekana akisaini mkataba mpya mbele ya viongozi wa klabu hiyo.  Mkataba huo mpya unamfanya kuwa mchezaji wa Wanalambalamba hadi mwaka 2026, jambo…

Read More

Zitto ajiapiza kwa Mpina | Mwananchi

Pemba. Kiongozi mstaafu wa ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema viongozi wa chama hicho, walifanya tathimini ya kina hadi kumpa kijiti Luhaga Mpina cha kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, akiwataka wanachama wao kutokuwa na wasiwasi na mtiania huyo. Kutokana hofu na shaka walionayo, Zitto amewaambia Wazanzibari kuwa viongozi wa chama hicho wanabeba dhamana kuhusu…

Read More

CP. WAKULYAMBA ASISITIZA MASHIRIKIANO BAINA YA PT NA JU

…………….. Na Sixmund Begashe, Mto wa Mbu Jeshi la Polisi Tanzania (PT) limepongezwa kwa mashirikiano mazuri na Jeshi la Uhifadhi nchini katika kuhakikisha ulinzi wa rasilimali za wanyamapori, misitu na malikale unakuwa endelevu kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Akifunga kikao cha kihistoria baina ya Jeshi la Uhifadhi na Jeshi la Polisi,…

Read More

Hospitali ya Jitimai, yaelemewa wagonjwa

Unguja. Ripoti ya utendaji kazi ya miezi sita ya Hospitali ya Wilaya ya Jitimai, imeonesha ongezeko kubwa la wagonjwa wanaohudumiwa, jambo linalozidi uwezo wa hospitali hiyo, huku sababu kuu ikitajwa kuwa ni kuimarika kwa huduma zinazotolewa. Ripoti hiyo imesomwa leo Jumapili, Agosti 10, 2025 na Mganga Mkuu wa Wilaya, Dk Lwayumba Lwegasha, katika kikao cha…

Read More

Uchumi wa Afrika ‘uliounganishwa’ bara

“Tunasimama kwa wakati muhimu, ambayo inaashiria mabadiliko makubwa kutoka kwa kuona mataifa haya kama ya pekee na yaliyoshinikizwa na jiografia kwa kuwatambua kama uchumi wenye nguvu uliounganishwa na ardhi ya moyo wa Afrika na kiuchumi,” alisema Samweli Doe, mwakilishi wa mkazi wa mpango wa maendeleo wa Umoja wa Mataifa ((UNDP) huko Ethiopia. Karatasi mpya ya…

Read More

Hayati Ndugai Alikuwa Mkomavu Kisiasa Na Kiuongozi (Picha +Video) – Global Publishers

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Hayati Job Yustino Ndugai alikuwa kiongozi mkomavu kisiasa na kiuongozi, ambaye aliweka thamani kubwa katika demokrasia ya Bunge. “Hayati Ndugai alikuwa mkomavu kisiasa na kiuongozi, na aliyeamini katika demokrasia ya Bunge. Alipokuwa Spika, Bunge lilishuhudia mafanikio mbalimbali yaliyoelezwa hapa…

Read More

Samia aagiza ujenzi makumbusho Kongwa kumuenzi Ndugai

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametaka kujengwa makumbusho yatakayoeleza mchango wa Wilaya ya Kongwa katika ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, ikiwa ni sehemu ya kuenzi ndoto za Spika mstaafu, hayati Job Ndugai. Agizo hilo la Rais Samia, linatokana na kile alichoeleza, kiongozi huyo wa zamani wa muhimili wa Bunge, alitamani mchango…

Read More