Unavyoweza kuishi na mwenza mmbeya | Mwananchi

Kuishi na mwenza mmbeya ni changamoto kubwa katika maisha ya ndoa au uhusiano wa kimapenzi. Mwenza mmbeya ni yule mwenye tabia ya kuropoka siri, mfuatiliaji na mtangazaji wa mambo ya watu. Pia hujumuisha mtu anayependa kubeza, kulalamika kila mara, au kushusha thamani ya mwenzake mbele ya wengine. Watu wengi wamejikuta wakiumia kihisia, kiakili na hata…

Read More

Sura tofauti waume kuwalipa mshahara wake zao

Katika jamii nyingi duniani, mjadala kuhusu nafasi ya mwanamume na mwanamke katika familia na kazi umekuwa ukizua maswali mbalimbali kuhusu usawa, wajibu, na haki. Moja ya hoja ambazo zimekuwa zikijitokeza mara kwa mara ni kama ni sahihi kwa waume kuwalipa wake zao mishahara kwa kazi wanazozifanya nyumbani au kwa mchango wao katika familia. Fredrick Joshua,…

Read More

Makosa matano ya wazazi kwenye malezi

Dar es Salaam. Wazazi wana jukumu kubwa katika ukuaji na malezi ya watoto wao. Malezi bora humsaidia mtoto kukua akiwa na maadili mema, kujiamini, na kuwa raia mwema katika jamii. Hata hivyo, pamoja na nia njema ya kuwalea watoto vizuri, wazazi mara nyingi hufanya makosa ambayo huathiri ukuaji wa mtoto kimwili, kihisia na kiakili. Makosa…

Read More

Kuna uchaguzi wa Oktoba na ule wa nyumbani kwako

Dar es Salaam. Oktoba 2025 ndio hiyo inakaribia, muda wa uchaguzi mkuu. Na kama kawaida, hiki ndo kipindi ambacho kila mwanasiasa anataka kushinda tena kwa kishindo. Atachapisha mabango yenye sura yake na tabasamu kubwa, atahutubia mitaani kwa amsha amsha ya matumaini, atatoa ahadi za kuboresha maisha, za uongo na kweli, na atatumia kila dakika kujisafisha…

Read More

Samatta kulipwa kibosi Ufaransa | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta atakuwa akilipwa kibosi huko Ufaransa kufuatia kujiunga na Le Havre AC inayoshiriki Ligue 1, akiwa mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania kuvaa jezi ya klabu hiyo kongwe. Kwa mujibu wa makadirio ya mishahara ndani ya Ligue 1, wachezaji wa timu za kiwango cha kati kama Le Havre hupokea kati…

Read More

Dogo wa Sudan afichua jambo 

KATIKA umri wa miaka 18 tu, Musa Hussein amejikuta akiwakilisha ndoto ya mamilioni ya vijana wa Afrika kwa kufunga bao katika mechi ya ufunguzi ya Sudan katika mashindano CHAN 2024. Hussein ndiye mchezaji mdogo kabisa kufunga bao katika mashindano haya, jambo lililomfanya kuwa mchezaji wa kwanza na wa pekee aliyeweka alama akiwa na umri huo…

Read More

Kuchukua kijeshi kwa Israeli kwa Jiji la Gaza kunaweza kuashiria ‘kuongezeka kwa hatari’: Guterres – Maswala ya Ulimwenguni

Tangazo kufuatia mkutano wa baraza la mawaziri la Israeli “Alama ya kuongezeka kwa hatari na hatari ya kuongeza athari za janga tayari kwa mamilioni ya Wapalestina, na inaweza kuhatarisha maisha zaidi, pamoja na mateka waliobaki“Ilisema. taarifa alibaini kuwa Wapalestina huko Gaza wanaendelea kuvumilia janga la kibinadamu la idadi ya kutisha. Kuhamishwa zaidi, kifo na uharibifu…

Read More

Stars yatabiriwa kumaliza kinara kundi B

ACHANA na matokeo ya mechi za jana, Jumamosi na Taifa Stars ilikuwa na kibarua dhidi ya Madagascar, kocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael ameitabiria timu hiyo ya taifa la Tanzania kumaliza kinara kwenye msimamo wa kundi B. Kocha Eymael ametoa kauli hiyo huku akisubiri mechi ya mwisho ya kundi ambayo Stars itacheza dhidi ya…

Read More