Auawa kikatili, mwili watelekezwa kando ya barabara bila nguo

Mwanza. Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linafanya uchunguzi wa mauaji ya kijana ambaye hajafahamika jina, baada ya kukutwa ameuawa pembeni ya barabara katika Mtaa wa Malimbe, Kata ya Luchelele, Wilaya ya Nyamagana. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema tukio hilo lilitokea Agosti 9, 2025 ambapo mwili wa…

Read More

Playsion Short Races, Mchezo Wa Ushindi, Zawadi Hadi Bilioni 6

Meridianbet imeleta tena moto kwenye kasino za mtandaoni kupitia Playson Short Races, mbio kali zinazowashangaza mashabiki wa michezo ya kubashiri Tanzania. Kuanzia saa 4:00 usiku hadi saa 8:50 usiku, kila mzunguko unaoucheza unaweza kukupandisha kileleni na kukuweka kwenye njia ya ushindi wa mamilioni ya pesa taslimu. Kwa kila siku, kunakua na mashindano 10 ya kasi…

Read More

Jumamosi ya Ushindi Hii Hapa

Kama kawaida siku chache zimebakia ligi mbalimbali kurejea huku zingine zikiwa tayari zimereja. Suka jamvi lako la ushindi kwenye mechi za kirafiki uweze kutusua na wakali wa ubashiri hapa. Mapema kabisa Manchester United atakipiga dhidi ya ACF Fiorentina kutoka Italia ikiwa ni moja ya timu ambazo ni za daraja la kati. United wanaendelea kujifua kuendelea…

Read More

NCHIMBI AKIPOKEA BARAKA ZA MAMA YAKE MZAZI

Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, kuchukua fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu leo, tarehe 9 Agosti 2025, katika Tume Huru ya Uchaguzi (INEC).

Read More

Mauritania yainyoosha Afrika ya Kati

TIMU ya taifa la Mauritania imeinyoosha Jamhuri ya  Afrika ya Kati kwa  bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Mchezo huo ni wa   kundi B la mashindano ya CHAN 2024. Bao hilo la mapema la dakika ya tisa kupitia kwa Ahmed lilitosha kuzima ndoto za Afrika ya Kati  kutoboa katika…

Read More