Sikia Diarra alichomfanyia Casemiro Yanga

PALE Yanga kuna mambo buana! Kuna maisha, lakini boli pia linatembea huku mastaa wageni wakinongesha chama hilo dhidi ya wenzao waliowakuta wakiendeleza vaibu kwa mashabiki wa chama hilo linalotarajia kuanza kutetea ubingwa wake mwezi ujao. Tayari mastaa wa timu hiyo ambao hawapo katika mashindano ya Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN),…

Read More

Walichosema Mpina, Othman wakijatambulisha Zanzibar

Unguja. Mtiania wa urais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina amesema wanakweda kuandika historia katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akiahidi Watanzania kunufaika na rasilimali za nchi. Kwa upande wake, mtiania wa urais wa Zanzibar, Othman Masoud amesema uchaguzi wa Oktoba ndiyo wakati sahihi wa kuiondoa CCM ili kurejesha…

Read More

Mwenge kukagua miradi 41 ya Sh25.9 bilioni Simiyu

Maswa. Mwenge wa uhuru wa mwaka 2025 utakagua, kuzindua, kutembelea na kufungua miradi 41 ya maendeleo yenye thamani ya Sh25.9 bilioni katika Mkoa wa Simiyu. Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Anamring Macha amesema hayo leo jumamosi Agosti 9, 2025 katika kijiji cha Njiapanda wilaya ya Maswa mkoani humo wakati akikabidhiwa mwenge wa uhuru na Mkuu…

Read More

Kanoute wa Simba kujiunga na Azam FC

ALIYEKUWA kiungo wa Simba, Sadio Kanoute anatarajia kuwasili nchini kesho alfajiri kwa ajili ya kujiunga na Azam FC. Kanaute, raia wa Mali aliondoka nchini akiwa Simba baada ya kuhudumu kwa miaka mitatu tangu msimu wa 2021-22 akitokea Al ahly Benghazi ya Libya ambapo punde tu baada ya kusajili alifanikiwa kupata namba kikosi cha kwanza mara…

Read More

Mtanzania aongeza uwekezaji katika saruji Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Mwaka mmoja baada ya mwekezaji kutoka Tanzania, Abdallah Munif kununua kampuni ya saruji ya Bamburi nchini Kenya, sasa ameongeza uwekezaji wake katika sekta ya saruji kwa kununua hisa kwenye kampuni nyingine ya East African Portland Cement (EAPC). Munif kupitia kampuni yake ya Kalahari Cement iliyosajiliwa jijini Nairobi, amenunua asilimia 29.2 ya hisa…

Read More

Sintofahamu kura ya maoni Bumbuli, uchunguzi unafanyika

Dar es Salaam. Wakati washindi wa kura ya maoni ya Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini wakisubiri hatima yao kutoka Kamati Kuu, mmoja wa watiania wa ubunge katika Jimbo la Bumbuli amelalamikia mwenendo usiofaa wa baadhi ya watiania wenzao walioshiriki kwenye kura ya maoni. Wameeleza kwamba watiania hao walikiuka utaratibu uliowekwa na chama hicho, jambo linalohusishwa…

Read More