
Ibenge kutesti mitambo Arachuga | Mwanaspoti
BAADA kucheza mechi ya ndani na kombaini ya Arusha, kikosi cha Azam FC chini ya kocha Florent Ibenge kinaendelea na maanzalizi kikijifua kwa mchezo mwingine wa kirafiki dhidi ya JKT Tanzania utakaopigwa Agosti 13 kabla ya kutimkia Rwanda. Azam FC ipo Arusha ambako imeweka kambi kwa siku 14 na mipango yake ni baada ya siku…