Tanesco kuwasaka wachezea mita wanaoiba umeme

Dar es Salaam. Katika hatua ya kudhibiti mapato, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kuanza ukaguzi wa mita kubaini upotevu na wizi wa umeme unaofanywa na baadhi ya wateja. Ukaguzi huo utakaofanyika nchi nzima utafanyika ikiwa ni siku chache tangu shirika hilo lije na mfumo wa kupokea taarifa za siri ili kuwabaini wahusika wa uhalifu…

Read More

Joaquim Paciencia ndiye mkali wao

WAKATI zikiwa zimeshachezwa mechi 12 (kabla ya zile za jana) nyota wa Angola, Joaquim Paciencia ndiye mchezaji aliyefunga bao la mapema zaidi katika michuano ya CHAN 2024 inayoendelea katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda zilizoandaa kwa pamoja. Straika huyo anayeitumikia klabu ya Bravo do Maquis, alifunga bao dakika ya saba alipoitanguliza Angola mbele ya…

Read More

Straika Algeria auota ubingwa CHAN 2024

MSHAMBULIAJI nyota wa Algeria, Aimen Mahious, ameweka wazi dhamira yake ya kuiongoza timu yake kutwaa ubingwa wa CHAN 2024, akisisitiza kuwa huu ndio wakati wao wa kutimiza ndoto hiyo. Katika mahojiano maalum na mtandao wa CAF, Mahious amefunguka kuhusu maumivu ya fainali ya mwaka 2022, matarajio yake binafsi, na shauku ya kurejesha heshima ya taifa…

Read More

Taharuki! Mgombea Udiwani CCM Apotea Mara, Gari Lake Laokotwa Nzega – Video – Global Publishers

Hali ya sintofahamu imeibuka baada ya mgombea wa udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara kuripotiwa kupotea ghafla, huku gari lake likipatikana likiwa limeachwa bila dereva katika eneo la Nzega, mkoani Tabora. Taarifa za awali zinaeleza kuwa mgombea huyo alionekana mara ya mwisho akiwa safarini, lakini baadaye hakuweza kupatikana kupitia simu…

Read More

Mzenji mikononi mwa Pamba Jiji

MABOSI wa Pamba Jiji wanasuka kikosi hicho kimyakimya ili kuongeza ushindani msimu ujao, ambapo wako katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa beki wa kati wa Singida Black Stars, Mukrim Issa ‘Miranda’ kwa mkopo. Nyota huyo kutoka Zanzibar msimu uliopita aliichezea Dodoma Jiji kwa mkopo pia akitokea Singida Black Stars, ambayo amebakisha nayo mkataba…

Read More

Ibenge aanza kuona mwanga Azam FC

KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, ameonyesha imani na kuvutiwa na kiwango cha nyota wa timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Kombe la FA na mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Ibenge alitoa kauli hiyo baada ya timu hiyo kushinda mabao 4-0 dhidi ya Arusha Combine katika mchezo wa kirafiki…

Read More

Taifa Stars kanyaga twen’zetu robo

HAKUNA kitu kingine kinachosubiriwa na mashabiki wa soka nchini, ila kusikia na kuiona timu ya taifa, Taifa Stars ikivuka hatua ya makundi na kutinga robo fainali ya michuano ya Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania. Stars inayoongoza msimamo wa Kundi B ikiwa pia ndio wenyeji wa…

Read More