Kwa hizi mbinu za Folz, mjipange!
UNALIKUMBUKA balaa la Miguel Gamondi alipokuwa Yanga kwa aina ya soka lake lilivyotingisha kabla ya kuondoka? Jamaa alipotoka tu, akaingia Sead Ramovic akafanya balaa ndani ya muda mfupi na ile ‘gusa achia twende kwao’ kisha akasepa. Mashabiki wa Yanga wakawa na presha baada ya kuondoka Ramovic, lakini akatua Miloud Hamdi na balaa la Gusa Achia…