Kwa hizi mbinu za Folz, mjipange!

UNALIKUMBUKA balaa la Miguel Gamondi alipokuwa Yanga kwa aina ya soka lake lilivyotingisha kabla ya kuondoka? Jamaa alipotoka tu, akaingia Sead Ramovic akafanya balaa ndani ya muda mfupi na ile ‘gusa achia twende kwao’ kisha akasepa. Mashabiki wa Yanga wakawa na presha baada ya kuondoka Ramovic, lakini akatua Miloud Hamdi na balaa la Gusa Achia…

Read More

Droo CAF…Wapinzani Yanga, Simba ni hawa

DROO ya michuano ya kimataifa kwa ngazi za klabu kwa msimu wa 2025-26 inafanyika leo mchana jijini Dar es Salaam, huku Yanga na Simba zinatarajiwa kukutana na miongoni mwa timu 16 katika hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kwa mujibu wa muongozo wa droo hiyo ambao Mwanaspoti limeunasa kutoka kwa mmoja wa maofisa…

Read More

Tshabalala amliza Mtunisia | Mwanaspoti

YANGA imemsajili na kumtambulisha beki wa kushoto wa zamani wa Kagera Sugar na Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, anayeendelea na majukumu ya kuitumikia timu ya taifa, Taifa Stars inayoshiriki michuano ya CHAN 2024, lakini kuna kocha mmoja ameshtushwa na usajili huo. Tshabalala aliyeitumikia Simba kwa misimu 11 tangu 2014 alipotua akitokea Kagera Sugar amepewa mkataba wa…

Read More

Sababu kipa Simba kutoenda kambini

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kwa mazoezi kambini jijini Ismailia, Misri kwa ajili ya msimu mpya wa mashindano, lakini kuna kipa mmoja wa timu hiyo yupo Dar es Salaam na mwenyewe amefunguka sababu zilizomfanya asiwepo kambini na wenzake. Kipa aliyekwama kuungana na wenzake kambini Misri ni Ally Salim ambaye amekuwa pia akiitumikia timu ya taifa,…

Read More

Wafugaji wahimizwa ufugaji wenye tija

Simiyu. Wafugaji nchini wametakiwa kuachana na ufugaji wa mazoea na kuanza kutumia mbinu za kisasa ili kukidhi mahitaji makubwa ya soko la nyama la ndani na nje ya nchi. Akizungumza leo Ijumaa, Agosti 8, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi alipotembelea banda la maonyesho ya mifugo la Halmashauri ya Wilaya ya Maswa…

Read More

Wakulima 5,000 wajisajili kwenye mfumo kupata mbolea

‎Dodoma. Jumla ya wakulima 5,156 wamejisajili kwenye mfumo wa kusajili wakulima nchini ili waweze kupata ruzuku ya mbolea kutoka Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (Tosci) kwenye maonyesho ya wakulima, wavuvi na wafugaji (Nanenane) jijini Dodoma. ‎Aidha, wakulima hao wamepata elimu ya kujua mbegu bora zilizothibitishwa na Tosci ili kuondokana na malalamiko ya kununua…

Read More

Wakala wa ugani, maabara kupaisha kilimo

Dodoma/Dar. Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kuanzishwa wakala wa huduma za ugani nchini, utakaorahisisha utoaji huduma kipindi chote cha mwaka, huku akitaka ofisi zake za makao makuu ziwe Nanenane mkoani Dodoma. Sambamba na hilo, ametaka viwanja vya maonyesho ya Nanenane jijini Dodoma viitwe jina la Waziri Mkuu mstaafu, Samwel Malecela, kuenzi utumishi wake katika nafasi…

Read More

BI. OMOLO APONGEZA WIZARA YA FEDHA NA TAASISI ZAKE KWA UTOAJI WA ELIMU MAONESHO YA NANENANE DODOMA.

Naibu Katibu Mkuu (Huduma za Hazina), Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, akipokea zawadi ya mfuko wenye machapisho mbalimbali kutoka kwa Afisa Mikopo wa Taasisi ya Self, Bi. Singoh Boniphace, wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha, kwenye Maonesho ya Nanenane yaliyofanyika Kitaifa katika Viwanja vya Nanenane, Nzuguni Jijini Dodoma, yenye kauli mbiu “Chagua…

Read More

JICA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI

:::::::::: Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) limetoa mafunzo ya siku mbili kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini, ikiwa ni juhudi za kuwajengea uelewa kuhusu shughuli za maendeleo zinazotekelezwa na shirika hilo nchini Tanzania. Mafunzo hayo, ambayo yalifanyika jijini Dar es Salaam mwanzoni mwa wiki…

Read More