Benki ya NBC Yaishukuru Serikali Kuzisogeza Taasisi za Fedha Karibu na Wakulima.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imepongeza hatua ya serikali ya kuboresha mfumo wa mauzo ya mazao ya wakulima hususani kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani ambao kwa kiasi kikubwa umeziwezesha taasisi mbalimbali za kifedha nchini ikiwemo benki hiyo kuweza kuwafikia wakulima kwa urahisi. Hatua hiyo pamoja na mipango mingine, inatajwa kuwa imezirahisishia zaidi taasisi hizo…

Read More

KAMISHNA BADRU AWATAKA ASKARI WA JESHI LA UHIFADHI NCAA KUZINGATIA WELEDI KATIKA KAZI.

Na Mwandishi wetu, Pololeti Ngorongoro Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-razaq Badru amewataka askari wa uhifadhi katika Pori la Akiba la Pololeti Wilayani Ngorongoro kuzingatia maadili, weledi na matokeo ya kazi wanazozifanya ili kulinda hadhi ya jeshi hilo. Kamishna Badru ametoa rai hiyo alipokuwa katika ziara ya kikazi na kuzungumza…

Read More

Sababu petroli kushuka, dizeli kupanda Zanzibar

Unguja. Wakati bei ya petroli ikishuka kwa asilimia 0.6, bei ya dizeli imepanda kwa asilimia 5.81 visiwani Zanzibar. Akitangaza bei mpya leo Agosti 8, 2025, Meneja Kitengo cha Uhusiano cha Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), Mbaraka Haji amesema bei hizo zitaanza kutumika kesho Agosti 9, 2025. Kwa mujibu wa…

Read More

Hatimaye Lungu kuzikwa Zambia, Mahakama yaamua

​​​Dar es Salaam. Baada ya kizungumkuti cha muda mrefu juu ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu hatimaye Mahakama nchini Afrika Kusini imeamuru mwili wake kurejeshwa nchini Zambia kwa maziko ya kitaifa. Lungu (68), aliyetumikia kama Rais wa Zambia kutoka mwaka 2015 hadi 2021, alifariki dunia Juni 5, 2025, kutokana na ugonjwa ambao…

Read More

Zanzibar yajizatiti utatuzi migogoro baharini

Unguja. Katika kutatua migogoro kati ya watumiaji wa maeneo ya bahari wakiwamo wavuvi na wakulima wa mwani, Serikali imejipanga kuweka mpango madhubuti wa matumizi ya bahari kwa kuwashirikisha wananchi wa maeneo zinakofanyika shughuli za kiuchumi. Serikali imesema mpango huo ni hatua itakayosaidia kupunguza migogoro sugu, ikiwamo inayowahusisha wavuvi wanaofanya shughuli zao kwenye mashamba ya wakulima…

Read More

Posta Yasisitiza Mchango Wake kwa Wakulima Kupitia Usafirishaji wa Pembejeo na Bidhaa

  Shirika la Posta Tanzania limesisitiza dhamira yake ya kusaidia maendeleo ya kilimo nchini kwa kusafirisha pembejeo, mbegu, na bidhaa mbalimbali kutoka kwa wauzaji hadi kwa wakulima katika maeneo yote ya Tanzania kwa gharama nafuu. Ikishiriki katika Maonesho ya Wakulima (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma, Shirika hilo limeeleza kuwa linachukua nafasi muhimu…

Read More

Kumi na moja wapenya mchujo wa mwisho uchaguzi TFF

KAMATI ya Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetoa orodha ya mwisho ya majina ya wagombea 11 waliopenya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa shirikia hilo uliopangwa kufanyika Agosti 16, 2025, jijini Tanga. Orodha hiyo ina majina ya wagombea 11 tu kati ya 25 waliojitokeza awali na kufyekwa kupitia hatua mbalimbali…

Read More

CUF yafuta saba uanachama kwa kuzipiga mkutanoni

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF) kimewafuta uanachama makada saba wanaodaiwa kuwashushia kichapo wajumbe wenzao wa Baraza Kuu la chama hicho. Hata hivyo, baadhi ya waliotimuliwa wamepinga hatua hiyo wakisema hawajapewa fursa ya kusikilizwa, hivyo inakiuka misingi, katiba na taratibu za chama hicho. Waliofutwa uanachama na Baraza Kuu la chama hicho ni Dauda Hassan,…

Read More