Samia, Nchimbi kuchukua fomu ya urais INEC kesho

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho, atachukua rasmi fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM kesho Jumamosi, Agosti 9, 2025, saa 4:50 asubuhi katika ofisi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) jijini Dodoma….

Read More

Mpango wa Israeli wa kuchukua udhibiti kamili wa Gaza lazima uache sasa, anasema Mkuu wa Haki za UN – Maswala ya Ulimwenguni

“Uchukuaji kamili wa kijeshi wa kamba iliyochukuliwa ya Gaza lazima isimamishwe mara moja,” alisisitiza Volker Türk, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu, baada ya Baraza la Mawaziri la Usalama la Israeli kupitisha mpango wa kuchukua kwa jeshi kamili la jeshi la Israeli katika eneo lililoshambuliwa. Maendeleo yanaenda kinyume na sheria za kimataifa, Bwana Türk aliendelea,…

Read More

Uwanja wa ndege wafunguliwa Kilosa, fursa zatajwa

Morogoro. Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka amewataka wananchi wa Kilosa kujiandaa kutumia fursa ya usafiri wa ndege utakaoanza hivi karibuni wilayani humo, huku akieleza namna uwanja huo utakavyochochea uchumi kwa kusafirisha abiria na mizigo. Shaka ametoa wito huo leo Agosti 8, 2025 wakati wa mapokezi ya ndege ndogo ya kwanza iliyotua kwa…

Read More

Maonyesho ya Nanenane yatumika kutoa elimu kwa wadau

‎Dodoma. Wakati shughuli za maonyesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi (Nanenane) yakifika ukingoni, maonyesho hayo yametumika kutoa elimu ya kilimo biashara kutoka kwa wadau mbalimbali walioshiriki maonyesho hayo. ‎Maonyesho hayo hufanyika kila mwaka kuanzia Agosti 1 hadi 8 kila mwaka, yakiwa na lengo la kuonyesha shughuli mbalimbali zinazofanywa na wakulima nchini. ‎Tofauti na maonyesho ya…

Read More

Kocha Simba ashtuka! Mbioni kuhama kambi

Timu ya Simba inatarajia kuhamisha kambi yake huko Misri kutoka mji wa Ismailia kwenda jijini Cairo kutokana na sababu mbalimbali zilizotajwa na benchi la ufundi la timu hiyo. Simba imepiga kambi Misri kujiandaa na msimu wa 2025/2026 ambapo itashiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Ligi Kuu Tanzania Bara na Kombe la FA. Akizungumza katika…

Read More