VETA YAENDELEA KUNGA’AA NANENANE, 2025

MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi(VETA) imeendelea kung’aa katika Maonesho ya 32 ya Kimataifa ya kilimo(NANENANE), 2025 yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. VETA inatumia Maonesho hayo kutangaza fursa za mafunzo ya muda mrefu na mfupi yanayotolewa katika vyuo vyake kote nchini pamoja na kuonesha huduma,vifaa na bunifu zinazotolewa na kutengenezwa na…

Read More

Unyanyasaji wakati wa kuzaa na baada ya kuzaa unaendelea ulimwenguni, ambao wanaonya – maswala ya ulimwengu

Katika muongo mmoja uliopita, kikundi kinachokua cha ushahidi kimeangazia athari iliyoenea ya kutendewa vibaya na umuhimu wa kuweka utunzaji wa heshima katikati ya mikakati yote ya afya ya mama na mchanga. WHOProgramu ya uzazi wa binadamu (HRP), na washirika walitoa a compondaum mpya Siku ya Jumatano ililenga kumaliza kutendewa vibaya na kukuza utunzaji wa mama…

Read More

Mkutano mkuu CUF kuamua Siwale au Gombo urais Tanzania

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF) kimewateua makada wawili wa chama hicho watakaopigiwa kura kwenye mkutano mkuu ili kumpata mpeperusha bendera wa kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba ametangaza majina ya watiania waliojitokeza katika chama hicho, leo Ijumaa, Agosti 8, 2025 wakati akizungumza na…

Read More

Pinda ataka Matokeo ya Utafiti yazingatiwe kueleza faida za Kisanyansi katika bidhaa za Kilimo

Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda ametaka Utaalamu wa Kisanyansi uzingatiwe katika mnyororo mzima wa thamani wa sekta ya Kilimo ikiwa ni pamoja na kuzingatia ufafanuzi wa Kisanyansi katika chapa za bidhaa mbalimbali za Kilimo zilizoongezewa thamani ili kuonesha tija inayopatikana kwa mtumiaji wa bidhaa hizo. Mheshimiwa Pinda amesema…

Read More

MANAIBU MAKATIBU WAKUU OR-TAMISEMI WATEMBELEA BANDA LA TARURA

-Waipongeza kwa kuwafungulia barabara wakulima Dodoma Manaibu Makatibu Wakuu wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI wakiongozwa na Mhandisi Rogatus Mativila Naibu Katibu Mkuu (Miundombinu) Sospeter Mtwale – Naibu Katibu Mkuu (Utawala na Rasilimali Watu) na Prof. Tumaini Nagu – Naibu Katibu Mkuu (Afya) wametembea Banda la Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) katika…

Read More