Dosari za utambuzi zamweka huru aliyeshtakiwa kwa ubakaji

Arusha. Mahakama ya Rufaa imefuta adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela aliyohukumiwa mkazi wa Longido mkoani Arusha, Loy Lesila, aliyetiwa hatiani kwa kosa la ubakaji. Uamuzi wa mahakama umefikiwa baada ya kubaini kesi dhidi ya mrufani haikuthibitishwa pasipo kuacha shaka. Jopo la majaji Rehema Mkuye, Lucia Kairo na Gerson Mdemu lililoketi Arusha lilitoa hukumu…

Read More

Radi yaua watoto wawili, bibi ajeruhiwa

Mwanza. Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia na bibi yao kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi katika Mtaa wa Bulola ‘A’, Kata ya Buswelu, wilayani Ilemela mkoani Mwanza. Tukio hilo lilitokea jana Agosti 7, 2025 saa 7:30 mchana wakati mvua iliyoambatana na upepo na ngurumo kubwa ilipoanza kunyesha. Hali hiyo ikitokea, Grace Kateti (52),…

Read More

Uislam na huduma kwa wenye mahitaji maalumu

Dar es Salaam. Uislamu umetambua haki kamili na ya kina ya watu wenye mahitaji maalum, na ukaweka nafasi yao juu katika jamii ya Kiislamu. Aidha, Uislamu umehimiza kuwaheshimu wale walio na vipaji, maarifa, kazi za manufaa au waliopitia uzoefu wa mafanikio. Mtume Muhammad (Rehema na amani ziwe juu yake) alikataza kabisa kuwadhalilisha au kuwadharau watu…

Read More

Usiruhusu matege kwa mtoto, yanatibika

Shinyanga. Ugonjwa wa matege unaosababishwa na ukosefu wa vitamini D unaendelea kuwa tatizo kubwa kwa watoto mkoani Shinyanga, huku asilimia 10 ya watoto wanaotibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, wakikumbwa na maradhi hayo ambayo huathiri moja kwa moja mifupa na ukuaji wa mtoto. Daktari bingwa wa upasuaji wa mifupa katika hospitali hiyo, Dk Geophrey…

Read More

Hatari inayowakabili wanaobadilisha rangi ya nywele

Baaadhi ya watu wanapenda kukabiliana na mvi kwa kutumia dawa nyeusi za kubadili rangi zijulikanazo Kiingereza kwa jina la ‘dye’. Vile vile wanawake huzibadili rangi za nywele kuwa na rangi mbalimbali kwa lengo la kuongeza mvuto wa urembo wa mwili. Hata hivyo, kutokana maisha ya utandawazi ya sasa, baadhi ya bidhaa za kubadili nywele rangi…

Read More

Faida za kula viazi vitamu, afya ya akili yatajwa

Dar es Salaam. Wakati utafiti mwingi ukionesha ongezeko la matatizo ya afya ya akili duniani, ulaji wa lishe bora unatajwa kusaidia kuboresha afya ya akili na utendaji kazi wa ubongo. Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2024, kwa sasa mtu mmoja kati ya watu wanane ana matatizo ya afya…

Read More

Si kila muwasho sehemu za siri ni PID, UTI

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameonya kuwa si kila muwasho wa sehemu za siri unatokana na maambukizi ya njia ya mkojo (UTI), magonjwa ya mfumo wa uzazi (PID) au fangasi, bali pia huweza kuwa ishara ya ugonjwa wa ngozi ujulikanao kama lichen sclerosus, ambao huathiri zaidi wanawake waliokoma hedhi, lakini pia huwapata watoto na…

Read More

Maafisa wa UN wanaonya juu ya njaa huku kukiwa na ‘dharura ya kijinsia’ katika Sudan iliyojaa vita-maswala ya ulimwengu

Hasa hit ngumu ni El Fasher, ambapo njaa inakua, na ofisi ya uratibu wa maswala ya kibinadamu (Ocha) Onyo la hali inayozidi ambayo inaweka maisha ya raia zaidi katika hatari. Mkurugenzi wa shughuli na utetezi wa Ocha, Edem Wosornu, ambaye kwa sasa yuko nchini, alisema mateso hayo ni makubwa, na watu wameshikwa, wamehamishwa au kurudi…

Read More