UCHAMBUZI WA MJEMA: Chuki hizi mitandaoni zinatuma ujumbe gani kama taifa?

Ninahuzunishwa na kusikitishwa sana na kile kinachoendelea katika mitandao ya Kijamii hapa Tanzania kwa baadhi ya Watanzania kufurahia madhila yanayowapata wenzetu ikiwamo kifo, jambo ambalo tunapaswa kulitafakari kama taifa. Haya yanayoendelea mitandaoni siyo ya kupuuza hata kidogo kwa sababu huko ndiko mijadala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi imehamia na tusisahau kuwa huko ndiko Watanzania walio…

Read More

VIPIMO SAHIHI KUINUA KILIMO NA BIASHARA, SERIKALI YASISITIZA UFUATILIAJI

Farida Mangube, Morogoro Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema matumizi ya vipimo sahihi ni msingi muhimu wa maendeleo kwa mkulima, mfanyabiashara na Mtanzania kwa ujumla, akisisitiza kuwa Serikali haitaendelea kuvumilia vitendo vya udanganyifu kupitia mizani zisizo sahihi. Akizungumza katika Maonesho ya Kilimo (Nanenane) Kanda ya Mashariki yanayofanyika katika Uwanja wa Maonesho…

Read More

Mwana FA, AY washinda rufaa shauri la mabilioni ya Tigo

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufaa imetengua hukumu ya Mahakama Kuu iliyobatilisha ya awali iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya Ilala katika kesi ya madai ya hakimiliki iliyofunguliwa na wasanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Flavour), Hamisi Mwinyijuma (Mwana FA) na Ambwene Yesaya (AY). Mahakama ya Rufaa imetengua hukumu hiyo baada ya kukubaliana na rufaa…

Read More

Nafasi ya Kushinda Unayo Meridianbet Leo

LEO hii wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa suka jamvi lako la kibabe hapa ujiweke kwenye nafasi ya wale ambao wataondoka na mshindo wa maana. Jisajili na ubashiri hapa. Tukianza na mechi ya Fredrikstad FK dhidi ya FC Midtjylland ya kule Denmark pale Meridianbet imepewa ODDS 3.90 kwa 1.88. Mwenyeji yeye anakipiga kule Norway…

Read More

CP. WAKULYAMBA AFUNGA MAFUNZO YA KIKOSI KAZI TAIFA DHIDI YA UJANGILI

……………….. Na Sixmund Begashe – Mtwaumbu Arusha Maafisa wa Kikosi kazi Taifa Dhidi Ujangili (NTAP) wametakiwa kutekeleza mafunzo waliyoyapata kwa vitendo ili kukabiliana na ujangili na biashara haramu ya nyara kwa ufanisi. Maelekezo hayo yametolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba, alipokuwa akifunga mafunzo ya…

Read More

WAKULIMA WASISITIZWA KUPIMA UDONGO KABLA YA KULIMA

CHUO  Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kupitia Idara ya Sayansi ya Udongo na Jiolojia kimesisitiza kuwa ni muhimu kwa mkulima anayelenga kulima kwa tija kuhakikisha anapima afya ya udongo pamoja na afya ya mbegu atakazozitumia kabla ya kuanza shughuli za kilimo, ili kuepuka hasara na kuongeza ufanisi wa uzalishaji. Dkt. Hellen Kayagha kutoka SUA…

Read More

Mkurugenzi Mkuu wa PURA Apongeza TPDC kwa Mchango wa Gesi Asilia katika Maendeleo ya Kiuchumi

📍Dodoma, Agosti 7, 2025 MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Mhandisi Charles Sangweni, ametembelea banda la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea jijini Dodoma, na kujionea teknolojia mbalimbali za usimamizi na usambazaji wa gesi asilia zinazotekelezwa na TPDC kwa maendeleo ya…

Read More