BASHUNGWA ATUNUKU VYETI WAFUNGWA 170 WALIOHITIMU MAFUNZO YA UJASIRIAMALI NA STADI ZA BIASHARA.

 ::::: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, amewatunuku vyeti Wafungwa 170 waliomaliza mafunzo ya ujasiriamali na stadi za biashara yaliyotolewa na Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) katika Gereza kuu Arusha. Hafla ya kutunuku vyeti hivyo ilifanyika tarehe 6 Agosti 2025 katika Gereza Kuu Arusha, ambapo kati…

Read More

Hisia tofauti kifo cha Ndugai

Dodoma. Serikali imekemea tabia ya baadhi ya watu wanaoshangilia kifo cha Spika mstaafu, Job Ndugai na kusema watu hao hawana utu. Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Simon Mayeka amesema wote wanaoshangilia msiba huu ni kwa sababu hawajui na hawajitambui huku akibainisha kuwa, wamekosa utu. Mayeka amekemea tabia hiyo leo Alhamisi Agosti 7,2025 alipozungumza na waandishi…

Read More

Mkwasa ataka mabao zaidi CHAN

KOCHA wa zamani wa Yanga na timu ya taifa, Taifa Stars, Boniface Mkwasa amesema benchi la ufundi la timu ya taifa lina kazi kubwa ya kufanya kwa kuhakikisha washambuliaji wanatumia nafasi wanazotengeneza kwa kufunga mabao mengi zaidi katika mechi zao za fainali za CHAN 2024. Mkwasa amefunguka hayo baada ya Stars kuandika rekodi ya kuongoza…

Read More

Singida BS yamgeukia straika Mkongomani

BAADA ya Singida Black Stars kufikia makubalino na Simba ya kumuachia aliyekuwa nyota wa kikosi hicho, Mghana Jonathan Sowah, mabosi wa timu hiyo wako hatua nzuri ya kumpata mshambuliaji mpya raia wa DR Congo, Malanga Horso Mwaku. Sowah tangu ajiunge na kikosi hicho dirisha dogo la Januari 2025, akitokea Al-Nasr Benghazi ya Libya, alifunga mabao…

Read More

Tafrani yaibuka kutoweka aliyeongoza kura za maoni CCM, wananchi waandamana

Tarime. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya mkoani Mara limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wali-oandamana wakidai watu wawili wamepotea katika mazingira ya kutatanisha. Wanaodaiwa kupotea ni Sinda Mseti, mgombea udiwani Kata ya Sirari, wilayani Tarime aliyeongoza kura za maoni za Chama cha Mapinduzi (CCM) zilizofanyika Agosti 4, 2025 pamoja na rafiki yake…

Read More