Kocha Azam FC aishtukia Yanga

KOCHA wa zamani wa Azam FC, Bruno Ferry ameula huko Angola baada ya kupewa mkataba wa miaka miwili kuinoa Wiliete Benguela itakayovaana na Yanga katika mechi za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akisema anajua kibarua alichonacho mbele ya wababe hao wa Bara. Bruno, ambaye pia ni kocha wa makipa aliwahi kuinoa…

Read More

Kipimo cha usajili kipo robo fainali

WAKATI timu zikipambana kutafuta nafasi ya kucheza hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), hali inaonyesha timu itakayotoboa ni ile iliyofanya usajili wa wachezaji wenye viwango vikubwa. Hiyo imetokana na ushindani mkubwa uliokuwepo kwa timu tano, zinazo tafuta nafasi za kucheza robo fainali ambapo Dar City, Jeshi Stars…

Read More

Bodaboda fursa ya ajira iliyogeuka kichinjio

Dar es Salaam. Licha ya usafiri wa bodaboda kuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya wananchi vijijini na mijini, umeibua mjadala kuhusu usalama barabarani, utekelezaji wa sheria na changamoto za uhalifu. Sheria ya usalama barabarani, kanuni zinazotungwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) na Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani, zinabainisha…

Read More

CAF yailainishia KMKM kombe la shirikisho

UNAWEZA kusema KMKM imelegezewa kamba katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika 2025-2026 baada ya wapinzani watakaokutana nao katika raundi ya kwanza, AS Port ya Djibouti kuchukua uamuzi wa mechi zote kupigwa visiwani Zanzibar. Meneja wa KMKM, Khamis Haji Khamis amesema wamepewa taarifa kwamba AS Port imepeleka barua Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuomba mechi…

Read More

Dabi ya pili Kariakoo kabla ya Krismasi

WAKATI ukiendelea kutafakari ratiba ya mchezo wa ufunguzi wa ligi Ngao ya Jamii kati ya watani wa jadi Simba na Yanga, Dabi ya Kariakoo iliyopigwa kuchezwa Septemba 16 timu hizo mbili zitakutana tena Desemba 13, mwaka huu kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara. Mchezo huo utakuwa wa duru ya kwanza kwa wawili hao ambapo Yanga…

Read More

Vyakula vinavyoondoa mafuta mwilini | Mwananchi

Katika ulimwengu wa leo ambako uzito kupita kiasi na unene ni changamoto kubwa kwa watu wa rika mbalimbali, wengi wamegeukia njia za haraka za kupunguza mafuta mwilini kama vile dawa za kupunguza uzito, mazoezi ya ghafla au hata upasuaji. Hata hivyo, ukweli ni kwamba mojawapo ya njia bora, salama na ya kudumu ya kupunguza mafuta…

Read More

Madhara ya kubana haja ndogo muda mrefu

Dar es Salaam. Je, una tabia ya kubana mkojo kwa muda mrefu yani kuanzia saa tatu na kuendelea? Unajua ni kwa namna gani tabia hiyo ni hatarishi kwa afya yako na mfumo wa utoaji takamwili kwa ujumla? Baadhi ya watu hubana mkojo kwa muda mrefu kutokana na sababu mbalimbali,  ikiwemo kutokuwa katika mazingira rafiki ya…

Read More

Lishe inavyoathiri hisia, afya ya akili

Watu wengi wanapozungumzia lishe, mawazo huenda moja kwa moja kwenye uzito wa mwili, nguvu za mwili au maumbile ya nje kama vile ngozi, nywele na misuli.  Hata hivyo, kuna upande mwingine muhimu wa lishe ambao haupewi uzito wa kutosha, nao ni ule wa athari zake kwenye hisia na afya ya akili.  Lishe unayokula kila siku…

Read More