
MAJALIWA AIAGIZA WIZARA YA KILIMO KUKUZA TEKNOLOJIA ZA UMWAGILIAJI NCHINI
………….. 📍NIRC:Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kasim Majaliwa, amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Dkt.Gerald Mweli kuhakikisha kuwa Wizara hiyo, kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, inashirikiana na sekta nyingine za umma ili kuhimiza matumizi ya teknojia za kisasa za Umwagiliaji, ikiwa ni pamoja kuhamasisha uwekezaji kutoka kwa wadau wa sekta…