Mayele anukia Mtibwa Sugar | Mwanaspoti

MABINGWA wa zamani w Ligi Kuu Bara, Mtibwa Sugar wanakaribia kuipata saini ya mshambuliaji wa TMA ya Arusha, Kassim Shaibu ‘Mayele’, baada ya nyota huyo kufanya mazungumzo na timu hiyo, ambayo hadi sasa yanaendelea vizuri ili kukitumikia kikosi hicho msimu ujao. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza Shaibu amekubaliana maslahi binafsi ya kujiunga na Mtibwa Sugar…

Read More

Mangalo apewa mwaka Pamba Jiji

BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa muda, beki wa zamani wa Biashara United na Singida Fountain Gate, Abdulmajid Mangalo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Pamba Jiji. Awali, beki huyo alikuwa anafanya mazungumzo na Mtibwa Sugar, lakini mambo hayakwenda vizuri sasa ni rasmi ataitumikia Pamba msimu ujao wa 2025-2026 unaoatarajiwa kuanza katikati ya Septemba….

Read More

Simba, Yanga kuanzia ‘mchangani’ CAF

WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba na Yanga zimepangwa kwa pamoja kuanzia hatua ya awali ya raundi ya kwanza tofauti na misimu mitatu iliyopita zilipokuwa zikitofautiana kwa Simba kuanzia raundi ya pili. Hatu hiyo imetokana na mabadiliko yaliyofanywa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwa msimu ujao wa…

Read More

SERIKALI KUJENGA BARABARA YA NJIA NNE MWANZ

::::;;; Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) imejipanga kikamilifu kuleta mapinduzi ya miundombinu katika Jiji la Mwanza kupitia ujenzi wa barabara ya njia nne kuanzia Mwanza Mjini hadi Usagara pamoja na njia ya mabasi ya mwendokasi, hatua inayolenga kufungua fursa mpya za kiuchumi kwa jiji hilo na mikoa jirani. Akizungumza kuhusu mradi huo,…

Read More

Polisi yatumia mabomu kutawanya waandamanaji Sirari

Tarime. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya mkoani Mara limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wali-oandamana wakidai watu wawili wamepotea katika mazingira ya kutatanisha. Wanaodaiwa kupotea ni Sinda Mseti, mgombea udiwani Kata ya Sirari, wilayani Tarime aliyeongoza kura za maoni za Chama cha Mapinduzi (CCM) zilizofanyika Agosti 4, 2025 pamoja na rafiki yake…

Read More

DR Congo yazinduka CHAN, yainyoa Zambia

BAADA ya kupoteza mechi ya kwanza ya mashindano ya CHAN 2024 inayoendelea kutimua vumbi ukanda wa Afrika Mashariki, DR Congo imepata ushindi wa kwanza jioni hii dhidi ya Zambia.  DR Congo ilianza michuano hiyo ilichapwa katika mechi ya kwanza dhidi ya wenyeji, Kenya ambao usiku huu wapo uwanjani kutupa karata ya pili katika michuano hiyo….

Read More