DC Kongwa akerwa wanaoshangilia kifo cha Ndugai

Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, mkoani Dodoma, Simon Mayeka amewashangaa baadhi ya vijana waliojitokeza kushangilia baada ya kutangazwa kwa taarifa za msiba wa aliyekuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai. Akizungumza leo Alhamisi Agosti 7, 2025, baada ya kufika nyumbani kwa Ndugai ulipo msiba, Mayeka amesema ni kitu kinachoshangaza kwa sababu hiyo siyo mila wala…

Read More

Chaumma yaweka wazi ilani yake, vipaumbele ndani ya siku 100

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimezindua Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo Alhamis Agosti 7, 2025. Chauma kimekuja na ilani ambayo inaahidi mageuzi makubwa katika maendeleo ya watu kwa kutumia rasilimali za ndani, kupambana na umaskini na kujenga utawala unaosimamia haki, uwajibikaji…

Read More

World Vegetable Centre ‘yajitoa kubireshs kilimo cha mbogamboga

…,………….. Kituo cha Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo  cha Mbogamboga Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika (World Vegetable Center) kilichopo Tengeru, Arusha, kimesema kuwa kitaendelea kuongeza juhudi za kuleta mageuzi katika sekta ya kilimo hapa nchini na Kusini mwa Jangwa la Sahara kupitia tafiti za kisayansi, ukuzaji wa mbegu bora na uwekezaji katika rasilimali…

Read More

Shule kuanza kutumia umeme kama nishati safi ya kupikia

Morogoro. Katika kukabiliana na changamoto ya uharibifu wa mazingira nchini, Kituo cha Taifa cha Ufuatiliaji wa Kaboni (NCMC) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wamesaini makubaliano ya utekelezaji mradi wa matumizi ya nishati ya umeme kwa ajili ya kupikia kwenye shule 50 za msingi na sekondari nchini….

Read More

Shule za ufadhili nchini Afghanistan, kilimo cha mwani katika Amerika ya Kusini, ukame nchini Somalia – maswala ya ulimwengu

Shirika hilo linapanga kupata tani zaidi ya tani 1,200 za biskuti zenye maboma, ambazo zitatoa wasichana na wavulana wa miaka 200,000 wa shule kwa karibu miezi mitatu. “Kwa watoto wengi, vitafunio vya kila siku wanaopokea katika mapumziko ya kwanza ya siku mara nyingi huwa chakula chao tu, kuwapa nguvu ya kukaa na afya, umakini, na…

Read More

Wanaoficha watoto wenye mahitaji maalumu kusakwa

Mbeya. Halmashauri ya Jiji la Mbeya imesema inaanza msako wa nyumba kwa nyumba kuwabaini na kuwachukulia hatua wazazi na walezi wanaoficha watoto wenye mahitaji maalumu. Pia, imewataka wazazi na walezi kutimiza wajibu katika malezi na inapotokea kutoelewana kwa wanandoa katika familia kutoathiri maisha ya mtoto, hasa katika haki yake ya elimu. Akizungumza leo Alhamisi Agosti…

Read More

AFRIKA IUNGANE KUKABILI MABADILIKO YA TABIANCHI

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Prof. Peter Msoffe akifungua Mkutano wa Kundi la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) kwa niaba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni jijini Dar es Salaam leo Agosti 07, 2025. Mwenyekiti wa Kundi…

Read More