MHANDISI MRAMBA AFUNGUA MAFUNZO YA TEKNOLOJIA YA NISHATI JUA KWA WATAALAM

………….. 📌 Yanahusu usanifu, utengenezaji, ufungaji  mifumo ya Nishati Jua na matumizi yake 📌 Asema mafunzo yanalenga kuendeleza matumizi ya nishati jadidifu  kama ilivyoelekezwa katika Dira 2050 Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba  amefungua mafunzo ya wataalam kutoka taasisi mbalimbali nchini yanayohusu usanifu, utengenezaji na ufungaji wa mifumo ya Nishati ya Jua…

Read More

Bodaboda alivyoepa kitanzi kesi ya mauaji ya mkewe

Arusha. Mahakama ya Rufaa imemuachia huru Baraka Jeremiah, dereva wa bodaboda aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya mkewe, Hawa Baraka. Jeremiah alihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Novemba 28, 2022 alipotiwa hatiani kwa mauaji ya Hawa yaliyotokea Septemba 24, 2017 katika eneo la Sing’isi wilayani Arumeru, mkoani…

Read More

KUMBUKUMBU KATIKA PICHA – SEKTA YA MICHEZO

Kabla ya kuanza ujenzi wa viwanja vya michezo na maeneo rasmi ya mazoezi, Mgombea Urais wa CCM Zanzibar mwaka 2020, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, alikutana na wanamichezo katika maeneo mbalimbali ya Unguja na Pemba kwa lengo la kusikiliza changamoto sugu walizokuwa wakikabiliana nazo na kufahamu mazingira halisi ya michezo Zanzibar. Kipindi cha kampeni za Urais…

Read More

Bodaboda aliyoepa kitanzi kesi ya mauaji ya mkewe

Arusha. Mahakama ya Rufaa imemuachia huru Baraka Jeremiah, dereva wa bodaboda aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya mkewe, Hawa Baraka. Jeremiah alihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Novemba 28, 2022 alipotiwa hatiani kwa mauaji ya Hawa yaliyotokea Septemba 24, 2017 katika eneo la Sing’isi wilayani Arumeru, mkoani…

Read More

WATUMISHI HOUSING YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI NANENANE MBEYA

Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mauzo wa Watumishi Housing Investments (WHI), ndugu Raphael Mwabuponde, ameendelea kutoa elimu kuhusu uwekezaji wa pamoja kupitia Mfuko wa Faida (Faida Fund) kwa wananchi na wanafunzi mbalimbali wanaotembelea maonyesho ya wakulima (Nanenane) yanayoendelea katika viwanja vya John Mwakangale mkoani Mbeya. Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la WHI,…

Read More

Kukomesha mapigano chini ya shida wakati maswala ya vurugu na misaada ya ufikiaji yanaendelea katika Sweida – maswala ya ulimwengu

Jalada la Julai 19 lilifuata majuma ya mapigano ya madhehebu, ndege za Israeli na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu katika serikali ya kusini, pia inajulikana kama As-Sweida. Kama matokeo, Zaidi ya watu 190,000 wamehamishwa huko na katika jirani Dar’a na Dameski ya vijijini Gavana. Mapigano hayo pia yalisababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu na maisha….

Read More

 Salum, Devotha urais Chaumma | Mwananchi

Dar es Salaam. Wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), watamaliza ubishi na kutoa majibu nani atapeperusha bendera ya chama hicho kwa nafasi ya urais wa Tanzania baada ya minong’ono, tetesi na maswali mengi ni nani atasimama. Pamoja na usiri uliotawala takriban wiki nzima, Mwananchi leo Alhamisi, Agosti 7, 2025 katika…

Read More