RC SENYAMULE:USHIRIKA UMEIMARIKA NA KUTUMIA MIFUMO YA KIDIGITALI

  Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amesema kwasasa Ushirika umeimarika kwakuwa na Mifumo ya kisasa ya kidigitali ambayo inachangia uwazi katika utendaji wa Vyama vya Ushirika. Mhe. Senyamule amebainisha hayo Agosti 6, 2025 wakati akitembelea mabanda mbalimbali ya Vyama vya Ushirika katika kijiji cha Ushirika kwenye Maonesho ya Wakulima Nanenane Jijini Dodoma….

Read More

Ajali ya helikopta yaua Waziri wa Ulinzi, Mazingira

Dar es Salaam. Ajali ya helikopta imetoka jana Jumatano asubuhi katika eneo la Ashanti nchini Ghana na kusababisha vifo vya watu wanane huku kati ya hao kuna mawaziri wawili. Kwa mujibu wa taarifa ya Serikali ya Ghana, watu wote wanane waliokuwamo kwenye helikopta hiyo wamefariki dunia huku miongoni mwao ni Waziri wa Ulinzi,…

Read More

Kocha Simba apata chimbo Ghana

ALIYEKUWA kocha wa Simba Queens, Yussif Basigi ametambulishwa kwenye kikosi cha Police Ladies ya Ghana kuiongoza timu hiyo kwenye michuano ya WAFU kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake. Kocha huyo raia wa Ghana alihudumu Simba msimu mmoja akitokea Hasaacas Ladies ya nchini kwao, lakini hakufanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi ya Wanawake akiushuhudia ukienda kwa…

Read More

MADINI YAGUSA MAKUNDI NJE YA MNYORORO WA THAMANI MADINI

-STAMICO yafungua milango kwa makundi maalum kushiriki kwenye mnyororo wa thamani  wa madini -Yaongeza uzalishaji na kusambaza Rafiki Briquettes nchi nzima. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera, ameipongeza STAMICO kwa juhudi zake za makusudi katika kupanua wigo wa wanufaika wa rasilimali za madini nchini, kwa kuanzisha na kutekeleza mikakati inayogusa…

Read More

BOT YATOA ELIMU YA UDHAMINI WA MIKOPO NANENANE

 :::::::; Na Ester Maile Dodoma  Banki kuu ya Tanzania (BOT)  yaendelea kutoa elimu kwa wakulima kuhusiana na mfuko wa udhamini wa mikopo ambapo mifuko hiyo imeanzishwa na serikali huku ikisimamiwa na banki kuu ya Tanzanio( BOT). Hayo yamebainishwa na CPA Michael Mwituka ambaye ni mkaguzi wa mahesabu kwa upande wa bank kuu katika maswala ya…

Read More

Asilimia 1.5 tu ya ardhi ya kilimo ya Gaza inabaki kupatikana na bila kuharibiwa – maswala ya ulimwengu

Mpya ripoti kutoka kwa shirika la chakula na kilimo (Fao) na kituo cha satelaiti cha UN (UNOSAT) kinaonyesha kuwa asilimia 8.6 tu ya mazao huko Gaza bado yanapatikana, wakati Asilimia 1.5 tu ya mazao yote yanapatikana na hayajaharibiwakama ya 28 Julai. Zaidi ya asilimia 86 ya mazao yameharibiwa, wakati asilimia 12.4 haijaharibiwa lakini nje ya…

Read More