Mpina, Othman turufu ya ushindi ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Mipango ya Chama cha ACT Wazalendo kuisaka dola imekamilika, baada ya chama hicho kuhitimisha mchakato wa kuwapata wagombea wa urais wa Tanzania na Zanzibar. Mbunge wa zamani wa Kisesa, Luhaga Mpina ndiye aliyetangazwa kuwa mgombea wa urais wa Tanzania huku Mwenyekiti wa chama hicho, Othman Masoud Othman naye akapitishwa kugombea nafasi hiyo…

Read More

Taifa Stars ina ‘sapraizi’ yenu

ACHANA na matokeo ya mechi ya jana usiku wakati Taifa Stars ikimalizana na Mauritania katika mechi ya pili ya Kundi B la michuano ya CHAN 2024, timu hiyo ya taifa ina sapraizi kwa mashabiki wa soka kupitia fainali hizo, kama itaendelea na moto katika mechi mbili zijazo za kundi hilo. Stars inayoshiriki fainali za tatu…

Read More

Hizi hapa sababu shambulio la moyo huathiri zaidi wanawake

Dar es Salaam. Magonjwa ya shambulio la moyo (heart attack) huwaathiri zaidi wanawake kuliko wanaume, huku ikielezwa kuwa Watanzania wanakimbilia zaidi India kutibiwa magonjwa ya mifupa. Hayo yameelezwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya ndani ya mwili Narendra Swamy, kutoka Hospitali ya Ramaiah ya India alipokuwa katika mahojiano maalumu yaliyofanyika leo Jumatano, Agosti 6, 2025….

Read More

Foba kiroho safi kwa Manula

KIPA wa Azam FC, Zuberi Foba amesema ni furaha kwake kucheza timu moja na Aishi Manula aliyemtaja kuwa ni mwalimu kwani ndiye aliyekuwa anamtazama kabla ya kuanza kucheza soka la ushindani huku akitaja sababu za kumuachia jezi namba 28. Manula atakuwa sehemu ya kikosi cha Azam msimu ujao baada ya kujiunga akitokea Simba na ameachiwa…

Read More

Kinachofuata kwa waliokatwa CCM | Mwananchi

Dar es Salaam. Ni nini hatima ya wabunge zaidi ya 50 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliomaliza muda wao bungeni, lakini hawakufanikiwa kuibuka kidedea kwenye mchakato wa kura za maoni? Je, ndoto zao za kisiasa zimezimwa rasmi au bado kuna dirisha dogo la matumaini? Swali hilo linawahusu pia wabunge kama hao, lakini majina yao si…

Read More

Tshabalala apewa mkataba wa kishua

BEKI Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ ametambulishwa usiku wa juzi akiwa mmoja ya nyota wapya wa Yanga akitokea Simba, lakini saini ya mkataba uliomfanya avae uzi wa Jangwani si mchezo kutokana na mkwanja aliovuna kutoka kwa mabingwa hao wa soka wa Tanzania. …

Read More

Dau la Ecua Yanga kiboko

YANGA imemtambulisha mmoja ya washambuliaji wapya kutoka Ivory Coast, Celestin Ecua aliyemaliza Ligi ya nchi hiyo akiwa na mabao 15 na asisti 12 na huku mtandaoni mashabiki wa klabu hiyo wanatamba, lakini ni kwamba dau lililomfanya atue Jangwani sio la kitoto. Straika huyo…

Read More

Nafasi ya Kuwa Bingwa Ipo Meridianbet Leo – Global Publishers

Kuwa bingwa ni rahisi sana ukiwa na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Arsenal, Villa, Fenerbahce na wengine kibao wapo kibao kuhakikisha hubaki patupu. Unangoja nini sasa kubashiri na mabingwa? Anza kusuka jamvi lako hapa ambapo Feyenoord Rotterdan ataumana vikali dhidi ya Fenerbahce Instanbulya kule Uturuki. Mwenyeji yeye anakipiga kule Uholanzi huku wakali wa ubashiri Meridianbet…

Read More