Usiyoyajua kuhusu Job Ndugai | Mwananchi

Dodoma/Dar. Leo Jumatano, Agosti 6, 2025, Job Yustino Ndugai amehitimisha safari yake ya mwisho hapa duniani akiwa na miaka 62. Amefariki dunia akipatiwa matibabu katika moja ya hospitali jijini Dodoma. Ndugai amefariki dunia katikati ya mchakato wa kuwapata wagombea ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na alikuwa ameongoza kura za maoni Jimbo la Kongwa. Rais Samia…

Read More

Job Ndugai afariki dunia | Mwananchi

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amefariki dunia leo Jumatano, Agosti 6, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika moja ya hospitali jijini Dodoma. Taarifa ya Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson aliyoitoa imesema: “Kwa masikitiko makubwa, naomba kutoa taarifa ya kifo cha kiongozi wetu, mwanasiasa mkongwe na Spika mstaafu wa…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KWA VIJANA, YAZINDUA MRADI WA UVITA KUKABILI UKATILI WA KIJINSIA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SERIKALI imesisitiza kuwa inaendelea kutoa kipaumbele kwa vijana kwa kutambua nafasi yao muhimu katika maendeleo ya taifa, huku ikiweka mazingira wezeshi ya kisera, mipango na mikakati mbalimbali ya kuboresha ustawi wao katika nyanja zote. Kauli hiyo imetolewa leo, Agosti 6, 2025, jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu wa…

Read More

UMOJA NA MSHIKAMANO NI SILAHA YA MTANGAMANO IMARA WA SADC

::::::; Umoja na mshikamano imeelezwa kuwa ni silaha pekee ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ya kuimarisha mtangamano imara na wenye nguvu, utakaowezesha kufikia malengo yaliyowekwa na jumuiya hiyo. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kikao cha Maafisa Waandamizi wa SADC ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya…

Read More

NEWZ ALERT : SPIKA MSTAAFU JOB NDUGAI AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia leo August 06,2025 akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Hospitalini baada ya kuugua ghafla. Kwa mujibu wa taarifa ya Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson aliyoitoa imesema: “Kwa masikitiko makubwa, naomba kutoa taarifa ya kifo cha kiongozi wetu, mwanasiasa mkongwe na Spika…

Read More

DUWASA YAASWA KUTOA HUDUMA KWA UFANISI

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera ameipongeza DUWASA na kuitaka kuendelea kutoa huduma Bora na yenye ufanisi kwa wananchi. Dkt. Serera ametoa rai hiyo Leo Agosti 06, 2025 alipotembelea Banda la Wizara ya Maji, ambapo amepokea maelezo kuhusu huduma za DUWASA. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA)…

Read More

NCAA YAENDELEA KUIMARISHA UTENDAJI WA WATUMISHI WAKE KUPITIA MAFUNZO YA KIJESHI.

Na Mwandishi wetu, Karatu Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) imeendelea kuimarisha utendaji kazi na uwajibikaji wa watumishi wa taasisi hiyo kupitia mafunzo ya kijeshi yanayotolewa katika kituo cha mafunzo ya kijeshi (Paramilitary) kilichopo Mbulumbulu, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha. Akizungumza kwa niaba ya Kamishina wa Uhifadhi NCAA, Katika hafla ya kuhitimisha mafunzo…

Read More

Utambulisho wa Tshabalala Yanga wamfunika hadi Sowah

UTAMBULISHO wa aliyekuwa nahodha wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ ndio wenye mapokezi makubwa zaidi dirisha hili la usajili kwa klabu za Simba na Yanga ukimpiku Jonathan Sowah wa Simba. Tshabalala ametambulishwa usiku wa kuamkia leo Jumatano hadi sasa baada ya kupostiwa mtandao wa kijamii Instagram wadau wa soka 132k wamependezwa na utambulisho wake wakati mshambuliaji…

Read More