
VYOMBO VYA HABARI VYATAKIWA KUTOA TAARIFA ZISIZOCHOCHEA VURUGU KATIKA UCHAGUZI MKUU 2025
Na Karama Kenyunko, Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imevitaka vyombo vya habari nchini kutumia kalamu zao kwa busara kwa kuepuka kuripoti taarifa zenye maudhui ya chuki, mgawanyiko au uchochezi wa vurugu wakati wa kipindi cha kuelekea na wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Wito huo umetolewa leo Agosti 04,…