Hekima ya Sunna ya Aqiqa katika Uislam

Dar es Salaam. Aqiqa” ni mnyama anayechinjwa kwa ajili ya mtoto wa kiume au wa kike siku ya saba baada ya kuzaliwa, kwa ajili ya kumshukuru Allah Mtukufu. Ibada hii ni Sunna muhimu katika Uislamu ambapo familia inafurahi kwa kupata mtoto mpya. Ushahidi wa Sunna hii ni kauli ya Mtume wa Allah (Rehema na amani…

Read More

MBETO ASEMA WALICHOKIPAMDA ACT WAZALENDO NDICHO WATAKIVUNA

 :::::::::: Na Mwandishi Wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi kimekitaka ACT Wazalendo kisimtafute mchawi katika sakata la kuenguliwa mgombea wao wa urais , badala yake wajue kinachopandwa ndicho kinachovunwa. Pia kimemtaka Kiongozi Mstaafu wa chama hicho Zito Kabwe kuacha kutoa shutuma zisozo na sababu wakati Luhaga Mpina ameengulia kwa kukiuka masharti ya katiba ya chama hicho….

Read More

Mstaafu anapotamani kurudisha kadi yake ya ustaafu!

Pamoja na miaka 66 aliyo nayo, mstaafu wetu anamiliki anachoita kitambulisho kimoja tu kinachomtambulisha kuwa yeye ni mstaafu wa shirika lililokuwa kubwa enzi zake la ‘nanihii’, alichopata siku alipostaafu kwa hiari yake miaka 15 iliyopita! Mstaafu wetu pia ana tarakimu za kadi ya Nida, sio kadi yenyewe, aliyoiomba miaka sita iliyopita, lakini akakata tamaa na…

Read More

Samia, Dk Nchimbi wanavyoanza kuzisaka kura mikoani

Kampeni za wagombea urais na mgombea mwenza wa Chama cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea leo Ijumaa, Agosti 29, 2025 katika maeneo tofauti nchini. Wakati, mgombea urais, Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Morogoro, mgombea mwenza, Dk Emmanuel Nchimbi ataanza kuchanja mbuga mikoa ya Kanda ya Ziwa yenye wapigakura wengi, akianzia Mwanza. Kwa mujibu wa takwimu za sensa…

Read More

Sababu Fei Toto kumficha mpenzi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ni msiri mkubwa katika sekta ya mahusiano na mwenyewe amefunguka sababu ya kufanya hivyo. Fei Toto alisema ameamua kufanya hivyo ili yasiingiliane na kazi yake ya kucheza mpira. “Kiukweli ni mpenzi yupo, lakini huwa sipendi kuweka uhusiano wangu hadharani, kazi  yangu haihusiani kabisa na ishu zangu…

Read More

Madagascar, Sudan mmetupa somo CHAN

KIJIWE kilipoa sana baada ya Taifa Stars kutolewa na Morocco katika robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 ambayo kesho Jumamosi yatafikia tamati. Hatuwezi kuchangamka na huku timu ambayo inasimama kama alama ya kutuunganisha Watanzania na mwenyeji, kuaga katika ardhi ya nyumbani. CHAN imetufunza mengi na miongoni mwa masomo tumeyapata kwa timu mbili za Madagascar…

Read More

Pamba Jiji kutesti tatu Kenya

BAADA ya kuwa na kambi ya wiki mbili mkoani Morogoro, Pamba Jiji Jumatatu ijayo inatarajia kwenda Kenya kupiga kambi ya muda mfupi sambamba na kucheza mechi tatu za kirafiki kabla ya kurudi Tanzania tayari kwa ushindani wa Ligi Kuu Bara. Pamba Jiji ambayo imetoka kuifunga Fountain Gate mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki na leo…

Read More

Omary achekelea kurudi nyumbani | Mwanaspoti

BAADA ya kuanza kuitumikia Mashujaa kwa mkopo akitokea Simba, kiungo Omary Omary amefurahia kurudi nyumbani na kukutana na ushindani mkubwa akiamini kwamba amefanya uamuzi sahihi kurejea katika timu hiyo aliyoichezea kabla ya kutua Msimbazi msimu uliopita. Omary amefunguka hayo siku moja baada ya timu yake kuambulia suluhu dhidi ya Al Hilal katika mechi ya kirafiki…

Read More