Zaidi ya watu 10,000 wanufaika huduma bure afya

Na Mwandishi Wetu Jumla ya Tanzania wapatao 10,000, wameweza kupatiwa matibabu bure, katika Kambi ya siku tatu ya upimaji wa afya na macho yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mwisho mwa wiki hii Jijini Dar es Salaam. Akitoa taarifa ya mwisho mara baada ya mwisho wa Kambi hiyo Alhaji Mohammedraza Dewji, ambaye ni Mwenyekiti wa…

Read More

Vifo vya watoto nchini Pakistan, shambulio la kituo cha reli ya Kiukreni, Ushirikiano mpya wa Maendeleo ya Un-India-Maswala ya Ulimwenguni

Watoto walichukua mpangilio usio na kipimo katika uwanja ulio karibu, na kuikosea kwa toy, na kuirudisha katika kijiji chao ambapo baadaye ilifunguka, UNICEF Alisema. Uwezo huo ni moja wapo ya maganda mengi ambayo hayajasafishwa kutoka kwa mapigano ya kijeshi kati ya Pakistan na India mnamo Mei, kulingana na ripoti za habari. Kupanua salamu za rambirambi…

Read More

Wakulima washauriwa kupima udongo kabla ya kutumia mbolea

Morogoro. Wakulima wa mazao mbalimbali ya chakula na biashara wametakiwa kufuata kanuni bora za kilimo ikiwa ni pamoja na kupima afya ya udongo ili waweze kujua aina na kipimo cha mbolea kinachohitajika. Wito huo umetolewa na Ofisa Kilimo wa Halmashauri ya wilaya ya Gairo, Christopher Mussa wakati akizungumza na Mwananchi kuhusu mbolea aina ya Minjingu…

Read More

Wizara Kilimo yakubali kazi e-GA

Dodoma. Serikali imetaja Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kuwa imepeleka mapinduzi makubwa ya kidijitali katika sekta ya kilimo. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatano Agosti 6,2025 na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Athumani Kilundumya alipotembelea banda la e-GA katika Maonyesho ya Kilimo, Wavuvi na Wafugaji (Nanenane) yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Kilundumya…

Read More

Airtel Africa signs multi-year strategic partnership with, Xtelify, Airtel India’s digital arm

Xtelify’s pioneering digital capabilities to accelerate Airtel Africa’s digital transformations Africa, August 04, 2025: Xtelify, a fully owned subsidiary of Bharti Airtel (‘Airtel’) housing all of Airtel’s digital assets and capabilities, today launched an AI-powered, future-ready software platform that will help telcos all around the world rid themselves of underlying complexity, focus on the customer,…

Read More

WIZARA YA NISHATI ENDELEENI KUSIMAMIA UFANISI WA MIRADI YA NISHATI- DED MKALAMA

…………………. Mkurugenzi wa Wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, Asia Juma Messos ametoa wito kwa  Wizara ya Nishati kuendelea kusimamia vyema Taasisi zake ili ziendelee kutekeleza miradi  ya Sekta ya Nishati kwa ufanisi na hivyo kuleta maendeleo kwa Wananchi. Messos amesema hayo Agosti 6, 2025  wakati alipoitembelea Banda la Wizara ya Nishati na Taasisi zake katika…

Read More