Makipa Taifa Stars wana jambo Chan 2024

MAKIPA wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hussein Masalanga na Yakubu Suleiman wamezungumzia wanavyojifunza vitu vingi kupitia Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN). Masalanga ambaye anatarajia kuongeza mkataba mpya na Singida Black Stars baada ya ule aliokuwa nao kumalizika msimu uliopita, alisema michuano ya CHAN anaitumia kama fursa ya…

Read More

Mashujaa yaanza tizi na wapya tisa

TIMU ya Mashujaa FC imeweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya jijini Dar es Salaam huku ikiwa na sura tisa mpya. Mwezi uliopita timu hiyo ilitangaza kuachana na wachezaji tisa ambao ni Ibrahim Ame, Yahya Mbegu, Jeremanus Josephat, Emmanuel Martin, Ibrahim Nindi, Zuberi Dabi, Omary Kindamba, Abrahman Mussa, Ally Nassor na Mohamed Mussa. Ili kuziba…

Read More

Ibenge aitabiria Taifa Stars ubingwa Chan 2024

KOCHA mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameonyesha kuvutiwa na kiwango cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa stars’ katika mashindano ya CHAN baada ya kuifunga Burkina Faso kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza. Ibenge yupo wilayani Karatu mkoani Arusha, ambako timu yake iko kwenye kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu…

Read More

Taifa Stars na leo tena

Baada ya kuanza vyema Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) 2024, timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo inatupa karata muhimu katika kundi B la mashindano hayo wakati itakapokabiliana na Mauritania katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 2:00 usiku. Kabla ya mechi hiyo, Burkina…

Read More

Wanawake na watoto wanakabiliwa na kifo katika kutafuta chakula – maswala ya ulimwengu

“Nilikuwa nikipokea misaada kwa urahisi na UN,” Abir Safi, mtu aliyehamishwa kutoka kwa kitongoji cha Zeitoun cha Gaza City, aliambia Habari za UN. “Sasa, hatupati chochote. Ninahatarisha maisha yangu kwa kwenda kuvuka kwa Zikim na kurudi na begi tupu. Ninachotaka ni kurudi kwa watoto wangu na chakula.” Bi Safi alisema hajawahi kufikiria kwamba kutoa kwa…

Read More

Vedastus Masinde sasa atajwa Msimbazi

BAADA ya mabosi wa JKT Tanzania kuweka ngumu juu ya upatikanaji wa beki wa kati aliyekuwa akiwindwa na Simba, Wilson Nangu inadaiwa mabosi wa Msimbazi wameanza kumpigia hesabu na kufanya mazungumzo na beki wa kati wa TMA Stars, Vedastus Masinde. Simba inapambana kunasa saini ya Nangu anayetajwa kuwa na mkataba na maafande hadi 2028, huku…

Read More

Mkenya anukia Pamba Jiji | Mwanaspoti

MABOSI wa Pamba Jiji wako katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo raia wa Kenya, Saphan Siwa Oyugi baada ya nyota huyo aliyejiunga na Kagera Sugar dirisha dogo la Januari 2025 kumaliza mkataba. Siwa alijiunga na Kagera Sugar iliyoshuka msimu uliopita kutoka Ligi Kuu Bara hadi Championship, ambapo alitua kwa mara ya kwanza…

Read More