
Simba yafuata mwingine Congo | Mwanaspoti
KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua mazoezi kambini Ismailia, Misri, huku mabosi wakiendelea kupiga hesabu kushusha mashine za mwishomwisho kwa msimu ujao, huku ikielezwa kwa sasa wamehamia kwa beki raia wa Kongo – Brazzaville. Kikosi…