Polisi sita mbaroni wakihusishwa na kutoweka kwa bodaboda

Dar/Mikoani. Mambo mapya yamejitokeza kuhusu tuhuma zinazowakabili baadhi ya askari polisi, wakiwemo wa Kitengo cha Intelijensia mkoani Kilimanjaro, wanaodaiwa kukamatwa kuhusiana na kutoweka kwa mshukiwa wa uhalifu ambaye mwili wake haujapatikana. Taarifa zinaeleza kuwa askari hao walikamatwa kufuatia uchunguzi ulioanzishwa baada ya kupotea kwa Deogratius Shirima (35), dereva maarufu wa bodaboda mjini Moshi, ambaye alitoweka…

Read More

BoT yaainisha mikakati kukuza sekta ya kilimo yaainishwa

Dodoma. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetenga Sh1 trilioni kama dhamana kwenye benki za maendeleo na zile za kibiashara, ili ziweze kuwakopesha wakulima waliokidhi vigezo vya mikopo lakini hawana dhamana. ‎‎Wakizungumza leo Jumanne Agosti 5, 2025 kwenye aonyesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi (Nanenane) yanayoendelea mkoani Dodoma, wadau kutoka taasisi hizo wamesema mikopo hiyo imetolewa…

Read More

Saba kortini wakidaiwa kuingiza tani 11 za dawa za kulevya

Dar es Salaam. Washtakiwa saba, wakiwemo raia wa Sri Lanka wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka moja la kuingiza sampuli za dawa za kulevya aina ya mitragyna speciosa zenye uzito wa kilo 11,596. Dawa hizo zinaelezwa kuwa na madhara sawa na heroini, kokeini na methamphetamine. Miongoni mwa madhara yake kwa watumiaji…

Read More

URIO AIBUKA KINARA KURA ZA MAONI KATA YA KUNDUCHI

Mgombea wa udiwani Kata ya Kunduchi, jijini Dar es Salaam anayetetea nafasi yake Michael Urio ameibuka kinara katika kura za maoni kwa kuwabwaga wagombea wengine wa wanne kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa matokeo ya kura za maoni yaliyotangazwa na msimamizi wa Kata hiyo Agosti 4, 2025- Urio ameongoza kwa kupata kura 257,…

Read More

Mghana alizwa na pengo la Abdelrahman

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Sudan, Mghana Kwesi Appiah amesema ni pengo kubwa kwake katika michuano ya CHAN kutokana na kumkosa nyota wa kikosi hicho Mohamed Abdelrahman. Appiah amezungumza hayo baada ya mechi ya kwanza ya timu hiyo dhidi ya Congo iliyoisha kwa sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex,…

Read More