Ngatsono ajivunia pointi moja ya CHAN

Kocha Mkuu wa Congo, Barthelemy Ngatsono amesema licha ya timu hiyo kuanza na sare katika michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), lakini amefurahishwa na viwango vilivyoonyeshwa na nyota wa kikosi hicho. Kauli ya Ngatsono imejiri baada ya timu hiyo kuanza michuano ya CHAN kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Sudan…

Read More

Lugangira Amkabidhi Kiti Mwendo Mama Mwenye Ulemavu Bukoba

Na Diana Byera – Bukoba Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia (CCM) Neema Lugangira, amemkabidhi kiti mwendo kipya Mama Justina, mkazi wa Mafumbo Kata ya Kashai Bukoba Mjini. Tukio hili limefanyika nyumbani kwa Mama Justina kama ishara ya shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa kumwezesha Lugangira kumaliza kipindi chake cha uongozi kwa amani, mafanikio makubwa, na…

Read More

Mawaziri, wawakilishi Zanzibar wachemka kura za maoni

Unguja. Mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), huenda ukawatenganisha mawaziri na naibu mawaziri kadhaa na nafasi za uwakilishi katika baraza lijalo la wawakilishi. Hilo linatokana na mawaziri na naibu mawaziri hao kutokuwa sehemu ya watiania wa uwakilishi walioongoza katika kura za maoni za wajumbe wa CCM. Viongozi hao walioshindwa kuongoza…

Read More

Meridianbet Wawasisimua Wateja Wake Kwa Kuileta Imoon

MABADILIKO ya kiteknolojia katika sekta ya michezo ya mtandaoni yanaendelea kuunda sura mpya ya burudani duniani. Kwa kasi inayoshuhudiwa katika ukuaji wa michezo ya kasino, mashabiki wengi wanahitaji si tu burudani, bali pia uzoefu unaokwenda sambamba na ubora wa teknolojia ya sasa. Ni katika muktadha huu ndipo Meridianbet wameibuka na taarifa ya kuvutia ya ujio…

Read More

llani ya Uchaguzi NLD yaja na mambo haya

Dar es Salaam. Katika Taifa ambalo vijana ndio kundi kubwa la watu, ajira imeendelea kuwa ajenda kuu katika kila uchaguzi mkuu. Kila mwaka, maelfu ya wahitimu kutoka vyuo vikuu na vya kati huingia sokoni kutafuta ajira, lakini nafasi hizo zimeendelea kuwa haba. Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa  2025, vyama mbalimbali vya siasa vinaendelea kuwasilisha mikakati yao…

Read More

Bashiri Mchezaji Wako Bora EPL Msimu Mpya

LIGI kuu ya Uingereza ndio hiyo ipo mbioni kuanza na tayari Meridianbet tayari wameshakuwekea ODDS za kibabe kubashiri mchezaji ambaye unaona kuwa msimu ujao atakuwa tishio. Kutoka na usajili ambao timu mbalimbali zimeufanya, je nani unaona atachukua tuzo hiyo? Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya mchezaji bora wa EPL Bukayo Saka kutoka pale…

Read More

Mpina atavyobadili upepo wa urais ACT-Wazalendo

Dar es Salaam. Mbunge wa zamani wa Kisesa, Luhaga Mpina rasmi ni mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo akidaiwa kubadili mwelekeo wa upepo wa urais, huku wadau wa siasa wakisema ni turufu itakayokiwezesha chama hicho kuvuna wanachama wapya. Sambamba na kujiunga na chama hicho, Mpina amekabidhiwa fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya chama hicho,…

Read More