BANK OF AFRICA TANZANIA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MFALME WA MOROCCO
BANK of Africa Tanzania yashiriki katika maadhimisho ya miaka 26 ya Mfalme Mohammed VI wa Ufalme wa Morocco. Tukio hilo la lilifanyika jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha viongozi wa kidiplomasia, mabalozi kutoka nchini mbalimbali wanaowakilisha nchini zao hapa Tanzania, wafanyabiashara, na wawakilishi mbalimbali katika kuadhimisha siku hiyo muhimu. Bank of Africa Tanzania ni kampuni…