
Marafiki, Wanajenga, Wanabomoa Uhusiano, Jifunze!
DUNIANI tunaishi kwa kutegemeana. Kwenye maisha kila mtu anamhitaji mwenzake kwa namna moja au nyingine. Anahitaji msaada wa mawazo, ushauri na hata fedha hivyo mtu huwezi kuepuka marafiki. Marafiki ndio ambao wanaweza kukupa msaada pale unapokuwa na uhitaji. Marafiki ndio wanaoweza kukupa faraja pale unapopitia kwenye kipindi kigumu. Ndio wanaoweza kukusaidia kwa hali na mali. Ndio…