Madagascar v Mauritania  culuhu ya kwanza CHAN

TIMU za Madagascar na Mauritania zilitoka sare ya bila kufungana (0-0) katika mechi ya Kundi B ya Michuano ya CHAN PAMOJA 2024 iliyopigwa Jumapili usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kundi hili lenye timu tano linaongozwa na wenyeji Tanzania wenye pointi tatu baada ya kuichapa Burkina Faso kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo ambayo…

Read More

Beki Namungo aaga akihusishwa Simba

BAADA ya sintofahamu kama aliyekuwa beki wa Namungo, Antony Mligo anaweza kujiunga na Simba dirisha hili kutokana na kuwa na mkataba na waajiri wake sasa ni rasmi amethibitisha kuwa ni Mnyama baada ya kuaga. Simba iliiomba Namungo kumtazama mchezaji huyo kabla ya kumsajili jambo ambalo lilifanyika na sasa ni rasmi nyota huyo ataitumikia Simba msimu…

Read More

Mahakama yatoa amri mpya mashahidi kesi ya Tundu Lissu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu imeamuru mashahidi ambao ni raia wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana), majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kuwafanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu…

Read More

Samatta kucheza na Dembele, Hakimi

KWA mujibu wa tetesi za usajili nchini Ufaransa, inaelezwa mshambuliaji wa Kitanzania, Mbwana Samatta yuko kwenye hatua za mwisho kujiunga na Le Havre ya Ligi Kuu Ufaransa. Samatta ameachana na PAOK ya Ugiriki miezi michache iliyopita baada ya kuhudumu kikosini hapo kwa takribani misimu miwili akifunga mabao sita kwenye mechi 41. Mbali na Le Havre…

Read More

Mashahidi kesi ya uhaini inayomkabili Lissu kufichwa

Dar es Salaam. Mahakama Kuu imeamuru mashahidi wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana) majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kufanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu wengine wa karibu. Mahakama hiyo katika uamuzi…

Read More

Morocco ubabe unaendelea CHAN | Mwanaspoti

Timu ya taifa la Morocco, Atlas Lions, imeanza kampeni yake ya kutafuta taji la tatu la mashindano ya CHAN 2024 kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi jana, Jumapili wa mabao 2-0 dhidi ya Angola kwenye Uwanja wa Nyayo, Nairobi. Bao la kwanza la Morocco lilifungwa na Imad Riahi katika dakika ya 29 kabla ya…

Read More

Mapya yaibuka Siha, Dk Mollel akidai mke wake kupigwa

Siha. Naibu Waziri wa afya, Dk Godwin Mollel amedai kutekwa na kupigwa kwa mke wake pamoja na msaidizi wake wakati wakitokea kumuona mgonjwa, huku akimtupia lawama mmoja wa wagombea wenzake kuhusika na tukio hilo. Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 3, 2025  mgombea huyo wa ubunge, Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro amesema vijana hao walizingira…

Read More

Sare dhidi ya Mauritania yambeba kipa Madagascar CHAN 2024

KIPA wa Madagascar, Michel Ramandimbozwa aliibuka shujaa baada ya kuiongoza timu yake kulazimisha suluhu dhidi ya Mauritania, licha ya kucheza wakiwa pungufu kutokana na kuonyeshwa kwa kadi nyekundu ya kwanza katika mashindano hayo. Ramandimbozwa, ambaye aliibuka kuwa Mchezaji Bora wa mechi, aliwavutia wengi kwa ubora wake langoni na alifanya kazi ya ziada kuokoa mashambulizi ya…

Read More

Sare yambeba kipa Madagascar | Mwanaspoti

KIPA wa Madagascar, Michel Ramandimbozwa aliibuka shujaa baada ya kuiongoza timu yake kulazimisha suluhu dhidi ya Mauritania, licha ya kucheza wakiwa pungufu kutokana na kuonyeshwa kwa kadi nyekundu ya kwanza katika mashindano hayo. Ramandimbozwa, ambaye aliibuka kuwa Mchezaji Bora wa mechi, aliwavutia wengi kwa ubora wake langoni na alifanya kazi ya ziada kuokoa mashambulizi ya…

Read More