CHAN 2024: Sudan, Senegal ushindi lazima

WABABE wawili kutoka kundi moja D, Senegal na Sudan wanakutana tena leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Mandela, jijini Kampala, Uganda kutafuta mshindi wa tatu katika mashindano ya ubingwa wa mataifa ya Afrika (CHAN) 2024. Timu hizi zilikutana Agosti 19 katika mechi ya mwisho ya makundi visiwani Zanzibar, ambapo hakupatikana mbabe, lakini leo ni lazima mshindi…

Read More

Mzize awakosha Wafaransa Yanga | Mwanaspoti

TAARIFA njema kwa mashabiki wa Yanga kuanzia juzi ni uhakika wa mshambuliaji wa timu hiyo, Clement Mzize kusalia ndani ya kikosi hicho, lakini makocha wawili wa Kifaransa wamefungukia hatua hiyo wakisema mambo mazito. Tuanze na yule Mfaransa Hamdi Miloud ambaye aliachana na timu hiyo msimu uliopita mara baada ya kuwaachia makombe matatu, ameliambia Mwanaspoti, Mzize…

Read More

Fadlu afichua siri ya kambi, ataja kitu kizito

SIMBA jana ilimtambulisha rasmi mshambuliaji mpya, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ ambaye Mwanaspoti liliwataarifu mapema angetua Msimbazi kwa mkopo kutoka Wydad Casablanca ya Morocco, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids akiichambua kambi ya Misri. Simba iliweka kambi ya karibu mwezi mzima nchini humo, ikianzia jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo na iliifunga rasmi juzi…

Read More