From Capacity to Catalyst: A Tanzanian Doctor’s Journey Through YOCAB to Global Leadership via TANZANIA HEALTH SUMMIT

By Sultani Kipingo   In a world where young people represent the fastest-growing segment of the global population, their role in influencing public health has become not only timely but absolutely essential. Few embody this urgent potential more clearly than Dr Julietha Gosbert Tibyesiga (pictured), a Tanzanian medical doctor, a passionate advocate for adolescent well-being,…

Read More

Mulee ataja sababu mbili Bajaber kusepa Harambee

KOCHA wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’, Jacob ‘Ghost’ Mulee amefichua sababu mbili zilizomfanya Mohamed Bajaber kuachana na kikosi hicho katika CHAN na kusaini mkataba na miamba ya soka nchini, Simba. Akifanya mahojiano na Habari 254tv ya kwao Kenya, Mulee alikiri kutokuwepo kwa Bajaber kambini kutaleta mabadiliko kadhaa, lakini Harambee Stars…

Read More

Mapro Simba watia neno dili la Mlingo

BAADA ya Simba kumtangaza beki mpya wa kushoto, Antony Mlingo akitokea Namungo FC, mastaa wa zamani wa klabu hiyo wamesema kocha Fadlu Davids anapenda soka la vijana na kisasa zaidi. Mwanaspoti lilikuwa la kwanza kuripoti taarifa za Mligo aliyezaliwa Agosti 8,2007 kwamba tayari amemalizana na Simba ambayo kwa sasa imepiga kambi nchini Misri kujiandaa na…

Read More

MPINA SASA RASMI ACT WAZALENDO,ACHUKUA FOMU YA URAIS

………………………. Mbunge wa zamani wa Kisesa, Mkoa wa Simiyu, Luhaga Mpina ni mwanachama halali wa Chama cha ACT Wazalendo na tayari ameshakabidhiwa fomu ya kugombea urais wa chama hicho. Taarifa za uhakika ndani ya ACT-Wazalendo zinasema, mwanasiasa huyo tayari amekabidhiwa kadi ya chama hicho cha upinzani na fomu ya urais jana Jumatatu, Agosti 4, 2025….

Read More

WANANCHI WAKARIBISHWA NANENANE KUFAHAMU KWA KINA MPANGO MAHSUSI WA NISHATI 2025-2030

………………….. 📌 Ni uliosainiwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wa Misheni 300 Wizara ya Nishati imekaribisha wananchi kuendelea kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima- NANENANE jijini  Dodoma ili kufahamu masuala mbalimbali ikiwemo Mpango mahsusi wa Taifa wa Nishati wa mwaka 2025-2030. Imeelezwa kuwa mpango huo uliosainiwa…

Read More

NCAA YATUMIA MAONESHO YA 88 KAMA FURSA YA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI KWA WATANZANIA.

Na Mwandishi wa NCAA Dodoma. Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro imetoa wito kwa watanzania kutembelea vivutio vinavyosimamiwa na mamlaka hiyo ili kujifunza masuala mbalimbali kuhusu wanyama na malikale. Afisa Uhifadhi Mkuu Masoko NCAA, Michael Makombe ameeleza hayo kwa kuwa wananchi wanaotembelea maonesho ya nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Nzughuni mjini Dodoma na kuongeza…

Read More