Rasmi Samatta kuicheza Le Havre Ufaransa

Nyota wa soka wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta, amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Le Havre inayoshiriki Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), hatua inayoweka historia kwa kuwa mchezaji wa kwanza Mtanzania kucheza katika ligi hiyo ya juu  nchini humo. Le Havre wamemtambulisha mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 32, wakithibitisha kuwa atavaa jezi namba 70…

Read More

Dewji awaombea Stars mamilioni | Mwanaspoti

MFADHILI wa zamani wa Simba, Azim Dewji amewataka wafanyabiashara wakubwa na mashabiki wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kuonyesha uzalendo kuwapongeza wachezaji wa Stars kwa kuwapa maokoto katika mechi watakazoshinda. Stars inashiriki michuano ya CHAN kwa mara ya tatu, huku ikiwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kuteuliwa kufungua  mashindano hayo. Kikosi hicho kilichopo katika…

Read More

Mashabiki New Amaan bado hakijaeleweka

WAKATI leo ikipigwa mechi mbili za kundi D, la Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN), mwitikio hadi sasa ni mdogo kwa mashabiki, licha ya nje ya Uwanja wa New Amaan Complex unaopigwa pambano hilo kuonekana shwari kiusalama. Maeneo mbalimbali visiwani Zanzibar, shughuli za kawaida kwa maana ya za kiuchumi…

Read More

Mpina yametimia ACT, kumvaa Samia urais 2025

Dar es Salaam. Mbunge wa zamani wa Kisesa, Mkoa wa Simiyu, Luhaga Mpina ni mwanachama halali wa Chama cha ACT Wazalendo na tayari ameshakabidhiwa fomu ya kugombea urais wa chama hicho. Taarifa za uhakika ndani ya ACT-Wazalendo zinasema, mwanasiasa huyo tayari amekabidhiwa kadi ya chama hicho cha upinzani na fomu ya urais jana Jumatatu, Agosti…

Read More

MMUYA AONGOZA KURA ZA MAONI UBUNGE RUANGWA

Mtia nia wa Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Ruangwa mkoan Lindi, Kaspar Mmuya apata ushindi wa kura 5986 kati ya kura 9547 na kuongoza katika kata 19 kati ya 22 zilizopo katika jimbo hilo. Akisoma matokeo katibu wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Ruangwa Abbas Beda Mkweta,amesema kura zilizopigwa na wajumbe ni…

Read More

Mpina yametia ACT, kumvaa Samia urais 2025

Dar es Salaam. Mbunge wa zamani wa Kisesa, Mkoa wa Simiyu, Luhaga Mpina ni mwanachama halali wa Chama cha ACT Wazalendo na tayari ameshakabidhiwa fomu ya kugombea urais wa chama hicho. Taarifa za uhakika ndani ya ACT-Wazalendo zinasema, mwanasiasa huyo tayari amekabidhiwa kadi ya chama hicho cha upinzani na fomu ya urais jana Jumatatu, Agosti…

Read More