Senegal, Nigeria kazi ipo Zenji CHAN 2024

MICHUANO ya fainali za Kombe la Ubingwa kwa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 inaendelea tena leo kwa mechi mbili za Kundi D zitakazopigwa visiwani Zanzibar, lakini macho na masikio yanaelekezwa katika pambano la watetezi, Senegal ‘Simba wa Teranga’ dhidi ya Super Eagles ya Nigeria. Pambano hilo litakalopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kuanzia saa…

Read More

TCRA YAWAFUNDA BLOGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

  Na Mwandishi Wetu WAZALISHAJI wa Maudhui Mtandaoni,jana wameaswa kutotoa taarifa ambazo zitaleta taharuki na machafuko ndani ya nchi hasa katika kuelekea kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakao fanyika baadaye mwaka huu (2025). Yamesemwa hayo jana tarehe 3,Agosti 2025 na Meneja Kitengo cha Huduma za Utangazaji,TCRA, Injinia Andrew Kisaka wakati akiwasilisha…

Read More

Simba yapanda dau kwa Yacoub

MABOSI wa JKT Tanzania wamedaiwa kuweka ngumu kumruhusu kipa wa timu hiyo, Yakoub Suleiman kujiunga na Simba iliyopiga kambi Misri ikijiandaa na msimu mpya wa 2025-2026, hivyo kuwafanya wenzao wa Msimbazi kulazimika kuongeza dau ili kuhakikisha wanamnasa mapema. …

Read More

Kuongeza majeruhi wa raia nchini Sudan kama mapigano yanavyozidi – maswala ya ulimwengu

Imekuwa siku 842 tangu migogoro kati ya askari kutoka kwa serikali ya jeshi na washirika wao wa zamani waliogeuzwa katika vikosi vya msaada vya haraka vya Parokia viliibuka nchini Sudan, na kuibadilisha nchi kuwa mzozo mkubwa zaidi wa kibinadamu ulimwenguni. Mapigano mazito yanaendelea katika Jimbo la Darfur Kaskazini, na vifo vingi vya raia viliripotiwa katika…

Read More

Beki Yanga amlilia Jonathan Sowah

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Jonathan Sowah ameshaanza mazoezi akiwa na kikosi cha timu hiyo kilichopo Misri, lakini kuna beki mmoja aliyewahi kukipiga Yanga ameshtushwa na kuumizwa juu ya kutua huko badala ya Jangwani na kusema timu hiyo isipojipanga ijue mapema itaumia kwake. …

Read More

Maximo aukubali mziki wa Fei Kagoma

KOCHA wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo ameonyesha furaha na matumaini makubwa kwa timu hiyo baada ya kuonyesha kiwango bora katika mechi ya kwanza ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 dhidi ya Burkina Faso. Maximo ambaye kwa sasa ni kocha mpya wa KMC, alisema hana mashaka na safu…

Read More

Mashujaa yaipiku Singida kwa Mgunda

MASHUJAA imeshinda vita ya kumwania mshambuliaji Ismail Mgunda aliyekuwa akihitajiwa na Singida Black Stars na mabosi wa pande zote mbili wamefunguka kila kitu kuhusu usajili huo. Hapo awali, Mgunda aliwahi kuichezea Singida kabla ya kutimkia Mashujaa aliyokuwa akiichezea mwanzoni mwa msimu uliomalizika kisha kwenda AS Vita ya DR Congo. Ikadaiwa alisaini Singida mara aliporejea kutoka…

Read More