Vodacom yatambua vipaji vya golf kupitia Corporate Masters.

Vodacom Tanzania, kupitia kitengo cha Vodacom Business kinachoshughulika na wafanyabiashara wakubwa pamoja na wadau mbalimbali wa michezo, wamekabidhi tuzo na zawadi kwa washindi tofauti wa mashindano ya golf yaliyofanyika katika uwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam, tarehe 2 Agosti mwaka huu.  Hafla hiyo ilikuwa sehemu ya mashindano ya Vodacom Corporate Masters, yaliyolenga kuhamasisha…

Read More

KAILIMA ASEMA TUME ITAFANYA KAZI KWA KARIBU NA WAANDISHI WA HABARI KIPINDI CHOTE CHA UCHAGUZI MKUU 2025

:::::::: Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima akizungumza katika Mkutano wa Tume, Wahariri na Waandishi wa Habari, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, Agosti 4, 2025 ambapo amewahakikishia washiriki hao kuwa, ofisi yake itafanya kazi nao kwa karibu katika kipindi cha uchaguzi…

Read More

MCHENGERWA APIGA KURA YA MAONI RUFIJI

Mohamed Mchengerwa leo Agosti 4, 2025 akiwa katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Azimio kata ya Umwe Rufiji pamoja na wajumbe wengine wa mkutano mkuu wa kata ya Umwe wakisikiliza maelekezo kutoka Msimamizi wa Uchaguzi ambaye ni Wajumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya, kuelekea kupiga kura za maoni…

Read More

Museveni aahidi mabilioni kwa nyota wa Uganda CHAN

Wakati timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’ ikianza kupeperusha bendera ya taifa hilo kwenye Fainali za Chan 2024 dhidi ya Algeria, Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni ametoa ahadi nono ya fedha kwa timu hiyo. Taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Uganda (Fufa) leo, imeeleza kuwa The Cranes itavuna Sh1.2 bilioni kwa…

Read More

Matumaini mapya wakazi wa Magomeni Kota

Dar es Salaam. Baada ya malalamiko ya kukithiri kwa uharibifu, uchakavu na wizi wa miundombinu katika nyumba za Magomeni Kota, Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umesema Sh1 bilioni zimetengwa kukarabati na kurejeleza vitu vilivyoibiwa. Hata hivyo, wakala huo umesema ukarabati wa uchakavu na uharibifu na urejeshaji wa vilivyoibiwa, hautahusisha maeneo ya ndani ya kila nyumba…

Read More

CCM na ndoto ya Katiba mpya, haki jinai

Moshi. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimetoa ilani yake ya uchaguzi 2025–2030 na moja ya ahadi ni kumalizia mchakato wa kuandika Katiba mpya, ambayo ni ndoto ambayo haijakamilika tangu Tanzania iingie katika mfumo wa vyama vingi, mwaka 1992. Safari rasmi ya kuanza kuandika Katiba mpya ilianza mwaka 2011, baada ya Rais wa awamu ya nne, Jakaya…

Read More

Mfanyabiashara Iringa adaiwa kupotea, mke asimulia

‎Iringa. Mfanyabiashara eneo la Mashine Tatu mkoani Iringa, John Changawa, ameripotiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha tangu Julai 30, 2025. ‎‎Habari za awali zinadai kuwa, John alionekana mara ya mwisho akizungumza na watu waliokuwa ndani ya gari kabla ya kuwaaga jamaa zake waliokuwa jirani na ofisi yake kwamba, anatoka na atarejea muda mfupi ujao. Akizungumzia…

Read More

Madagascar v Mauritania  culuhu ya kwanza CHAN

TIMU za Madagascar na Mauritania zilitoka sare ya bila kufungana (0-0) katika mechi ya Kundi B ya Michuano ya CHAN PAMOJA 2024 iliyopigwa Jumapili usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kundi hili lenye timu tano linaongozwa na wenyeji Tanzania wenye pointi tatu baada ya kuichapa Burkina Faso kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo ambayo…

Read More