Wajumbe CCM wazuiwa kuingia ukumbi kisa sare

Unguja. Baadhi ya wajumbe wa kupiga kura za maoni Jimbo la Mfenesini wamezuiwa kuingia ndani ya ukumbi kwa kile kilichoelezwa hawakuvaa sare za chama kama walivyoelekezwa Wajumbe wa jimbo hilo wameanza kuingia ndani saa 3:00 asubuhi kwa ajili ya matayarisho ya  upigaji kura za maoni kwa wabunge, wawakilishi na madiwani. Jimbo hilo lenye wadi tisa…

Read More

KAABI: Kutoka CHAN hadi mfungaji bora Ulaya

KADRI mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani yakianza leo, majina ya mastaa kadhaa yamekuwa yakikumbukwa lakini kubwa zaidi ni la mwamba wa Morocco Ayoub El Kaabi aliyetumia michuano hii kama njia ya kutua Ulaya na sasa imebaki historia.  El Kaabi, mshambuliaji wa Morocco, alivuma kupitia CHAN 2018, na mafanikio hayo yakamfungulia…

Read More

Pamba Jiji yamkomalia Kelvin Nashon

UONGOZI wa Pamba Jiji uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo wa Singida Black Stars, Kelvin Nashon, baada ya kikosi hicho kushindwa kufikia makubaliano ya kuipata saini ya nyota huyo katika dirisha dogo la Januari 2025. Nyota huyo alishindwa kufikia makubaliano binafsi na kikosi hicho katika dirisha dogo, ingawa kwa sasa mazungumzo…

Read More

Mwashilindi anukia Mtibwa Sugar | Mwanaspoti

KLABU ya Mtibwa Sugar inakaribia kuipata saini ya kiungo wa maafande wa Tanzania Prisons, Ezekia Mwashilindi, baada ya nyota huyo kufanya mazungumzo na timu hiyo, ambayo hadi sasa yanaendelea vizuri ili kukitumikia kikosi hicho msimu ujao. Nyota huyo wa zamani wa Singida BS, kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Prisons,…

Read More

Straika Mkenya arudishwa Simba Queens

BAADA ya Simba kumpa mkono wa kwaheri wiki chache zilizopita mshambuliaji raia wa Kenya, Jentrix Shikangwa inadaiwa yupo njiani kurejeshwa kikosini kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) na michuano mingine ya ndani ya soka la wanawake. Julai 15 mwaka huu, Simba ilitangaza kuachana na mshambuliaji huyo wa zamani wa Vihiga…

Read More

Beki Mtanzania ajumuishwa Morocco | Mwanaspoti

ALIYEKUWA nahodha wa Simba Queens, Violeth Nickolaus amejumuishwa kwenye kikosi cha FC Masar ambacho kipo Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Misri. Hadi sasa Masar haijamtambulisha nyota huyo wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, licha ya yeye mwenyewe kubadilisha utambulisho wake kwenye mitandao ya kijamii…

Read More

Chama la Mmombwa latolewa UEFA

CHAMA la kiungo Mtanzania, Charles Mmombwa, Floriana FC imetolewa kwenye michuano ya kufuzu kucheza Europa Conference League baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Balkani. Timu hiyo ilipata nafasi ya kushiriki mechi za mtoano za michuano mikubwa Ulaya baada ya kumaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Malta, maarufu kama…

Read More

Geay aula Berlin Marathon 2025

MWANARIADHA nyota wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay ni miongoni mwa mastaa 13 ambao wamepewa mwaliko wa kushiriki mbio za Berlin Marathon 2025, Ujerumani. Mbio hizo zitafanyika Septemba 21 na Geay anayeshikilia rekodi ya taifa ya mbio ndefu kwa muda wa saa 2:03:00 aliyoiweka katika Valencia Marathon miaka mitatu iliyopita atashiriki kwa mara ya kwanza….

Read More

Kipa wa KVZ azitosa mbili Bara

KIPA tegemeo wa KVZ anayeidakia pia timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Suleiman Said Abraham amezikacha timu mbili za Ligi Kuu Bara, Tabora United na Pamba Jiji na kutua Namungo. Namungo imefanikiwa kunasa saini ya kipa huyo, baada ya kuzizidi ujanja Tabora na Pamba ambazo nazo zilikuwa zikimwinda kwa muda mrefu. Suleiman amemwaga wino…

Read More