Kanuni za kutoboa Chan 2024

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limezianika kanuni za mashindano ya CHAN 2024 upande wa kusaka timu mbili kutoka kila kundi zitakazofuzu hatua ya robo fainali. Mashindano hayo yanayoshirikisha jumla ya timu 19 ambazo zimegawanywa katika makundi manne, yalianza Jumamosi ya Agosti 2 mwaka huu kwa mchezo wa ufunguzi kati ya wenyeji Tanzania dhidi ya Burkina…

Read More

Huko Yanga bado mmoja tu!

YANGA imeshaanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-26 na jana Jumapili mazoezi ya timu hiyo yalisitishwa kidogo kisha kufanyika kikao kizito kati ya mabosi wa klabu hiyo na mastaa wa timu hiyo huku mashine moja tu ikikosekana ukiacha wale walioko timu ya Taifa. …

Read More

Rais Samia avunja bodi ya NSSF, afanya uteuzi

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan ameivunja bodi ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kuwateuwa watendaji mbalimbali. Bodi ya NSSF ilikuwa inaundwa na Mwenyekiti wake, Mwamini Malemi, Makamu, Abdul Zuberi, huku wajumbe ni Juliana Mpanduji, Joseph Nganga, John Kinuno, Henry Mkunda, Fauzia Malik, Lucy Chigudulu na Oscar Mgaya….

Read More

Sita wakamatwa tuhuma za rushwa, mgombea ubunge atimka

Tabora. Watu sita wanashikiliwa na vyombo vya usalama Mkoa wa Tabora wakidaiwa kupokea rushwa kutoka kwa mmoja wa wagombea ubunge wa Nzega Mjini mkoani humo, huku wengine 40 wakisakwa akiwemo mgombea husika. Mgombea huyo wa ubunge ambaye jina limehifadhiwa amekimbia na kutelekeza gari katika Mtaa wa Musoma wilayani Nzega Mkoa wa Tabora ambapo ukaguzi uliofanywa…

Read More

MKAKATI ENDELEVU WA KAMPUNI YA BARRICK WAFANIKISHA KULETA MABADILIKO CHANYA KWENYE JAMII KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 6

  Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick Mining Corporation Mark Bristow – Picha kutoka Maktaba Toronto- Kampuni ya Madini ya Barrick (NYSE:B)(TSX:ABX) imefanya mkutano wa mwaka kutoa mrejesho wa mkakati wake endelevu,unaojumuisha ushirikiano wake na wadau ukijikita kuhusu utekelezaji wa mkakati endelevu na vipaumbele.Mkutano huo wa kimtandao unafuatia ripoti ya kina ya Mkakati Endelevu ya…

Read More