Mwanza yapaa Kriketi Kanda ya Ziwa

JITAHADA za Chama cha Kriketi kuhakikisha mchezo huo una vipaji bora nchi nzima zinazidi kuzaa matunda na hivi karibuni mchezo huu umejenga mizizi mikoa ya Kanda ya Ziwa, Ligi ya Vijana chini ya miaka 17 ndiyo shuhuda wa mafanikio ya kriketi kanda hii na mbabe wa michuano akiwa Mkoa wa Mwanza. Taarifa ya Chama cha…

Read More

Riadha Dar kuanza na ofisi

SIKU chache baada ya kuingia madarakani, Mwenyekiti wa Chama cha Riadha Dar Es Salaam (DAA), Amani Ngoka amefunguka moja ya mikakati waliyonayo ni kuhakikisha wanapata ofisi rasmi ya chama hicho. Alisema DAA imekosa ofisi kwa muda sasa, hivyo kusababisha kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi na kama watapata itasaidia katika kuratibu shughuli zote zinazohusu maendeleo ya…

Read More

Benki ya NMB yawahakikishia wafanyabiashara mikopo mikubwa

Mwanza. Benki ya NMB imekutana na wafanyabiashara wakubwa 120 wa Mkoa wa Mwanza na kuwahakikishia uwezo wa kupata mikopo mikubwa. Akizungumza na wafanyabiashara katika hafla  ya chakula cha usiku Agosti 1,2025 jijini Mwanza, Ofisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi amesema  benki hiyo ina uwezo wa kuwahudumia wafanyabiashara nchini kwa kutoa…

Read More

Dosari zasababisha kesi ya ubakaji kwa genge kusikilizwa upya

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Bukoba imebatilisha na kufuta adhabu ya kifungo cha maisha jela waliyohukumiwa washtakiwa wawili baada ya kutiwa hatiani kwa ubakaji wa genge. Uamuzi wa Mahakama umetokana na kubainika dosari za kisheria, huku ikiamuru kesi irejeshwe Mahakama ya chini na isikilizwe mbele ya hakimu mwingine mwenye mamlaka. Pia imeamuru kuchunguza umri wa…

Read More

Sabri asaini mitatu Sweden, ajipanga

ALIYEKUWA kiungo wa Singida Black Stars Sabri Kondo ametambulishwa katika klabu ya BK Häcken ya Ligi Kuu ya Sweden, baada ya kusaini mkataba wa miaka mitano. Subri ambaye msimu uliopita alicheza Coastal Union kwa mkopo, awali alienda katika timu hiyo inayokamata nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi hiyo ya Sweden, ikicheza mechi 17 na…

Read More

Muujiza mtoto aliyenusurika baada ya kupigwa risasi ya kichwa

Palestina. Unaweza kusema ni muujiza, miongoni mwa maelfu waliouawa Gaza, mtoto wa Kipalestina, Lana Al-Basous amepigwa risasi kichwani lakini risasi hiyo haijamuua wala kumtoa damu. Lana kutoka Gaza, amenusurika kwa njia ya kushangaza baada ya kupigwa risasi iliyorushwa na drone ya Israel, ambapo risasi hiyo ilisimama kati ya fuvu lake na nywele bila kuvunja mfupa…

Read More

Muujiza Gaza, mtoto anusurika risasi ya kichwa

Palestina. Unaweza kusema ni muujiza, miongoni mwa maelfu waliouawa Gaza, mtoto wa Kipalestina, Lana Al-Basous amepigwa risasi kichwani lakini risasi hiyo haijamuua wala kumtoa damu. Lana kutoka Gaza, amenusurika kwa njia ya kushangaza baada ya kupigwa risasi iliyorushwa na drone ya Israel, ambapo risasi hiyo ilisimama kati ya fuvu lake na nywele bila kuvunja mfupa…

Read More

Utaratibu kura za maoni CCM zitakavyopigwa

Dar es Salaam. Wakati kesho Jumatatu Agosti 4, 2025 Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiendesha kura za maoni za udiwani, ubunge na uwakilishi kwa Zanzibar, imeelezwa mchakato utafanyika kwa kila kata kutokana na marekebisho mbalimbali ya katiba ya CCM ya mwaka 1977. Katika marekebisho hayo yaliyofanyika katika Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025 yaliwezesha kuongeza idadi…

Read More

Washauriwa kutumia AI kutatua migogoro ya kisheria

Unguja. Wakati matumizi ya Akili Unde (AI) yakiendelea kushika kasi duniani, wasaidizi wa sheria kisiwani hapa wametakiwa kujifunza teknolojia hiyo kwa lengo la kuitumia kutatua migogoro ya kisheria kwa haraka na ufanisi. Hayo yameelezwa leo, Jumapili, Agosti 3, 2025, na Katibu Mtendaji wa Baraza la Vijana Zanzibar, Ali Haji Hassan, wakati akifungua mafunzo ya Akili…

Read More

Fisi, nyani wageuka kero kwa wananchi Musoma

Musoma. Wakazi wa Kijiji cha Nyang’oma wilayani Musoma, Mkoa wa Mara, wameiomba Serikali kuingilia kati na kuwaondoa fisi na nyani ambao wamekuwa kero na tishio kijijini hapo. Wakazi hao wamedai kuwa maisha yao yapo hatarini kutokana na kukithiri kwa fisi na nyani ambao wamekuwa wakiingia kijijini hapo na kuleta usumbufu, huku wakiwa hawajui nini cha…

Read More